Mnasaidiwa bado mnaleta ngebe, yakifeli lawama kwa walimu tena.
Kama ulikua unataka kuonana na mwanao ungempeleka day schools. Nyie kina dady mna lawama sana kisa hujamuona junya miezi 2 tu ushaanzisha uzi aisee.
Acha dogo apige kitabu, form four anarudi home kufanya nini, mda wa kumpuzika anao wa kutosha. November hapo anamaliza mtakaa nae hadi mumchoke. Form two mapemaa october anarudi nyumbani.
Std 7 ndo mwezi wa 9 keshokutwa hapo anarudi, std 4 mwezi november tu hapo anarudi muendelee kucheza nae.
Na hizo siku anazokua shule anakua na muda mrefu sana wa kupumzika, huwa wanasoma kwa muda mfupi na kuna wiki 1 au 2 za mwisho kukingana na utaratibu wa shule husika huwa nao wanafunga wakapumzike.
Matoto yenu hayana akili ndio maana yanakazaniwa walau yaelewe hata huo mwezi pia. Wakiachwa wanarudi hawana kitu kabisa kichwani. Huko nyumbani hayasomi yanacheza game na kupigwa pipe hovyo.