Waziri wa Elimu kama kazi imemshinda ajiuzulu, walimu shule binafsi wanalipwa mishahara finyu na hasemi chochote

Waziri wa Elimu kama kazi imemshinda ajiuzulu, walimu shule binafsi wanalipwa mishahara finyu na hasemi chochote

Hata hajui unyanyasaji unaofanya na waajiri shule binafsi na she doesn't bother kujua yeye kutoa matamko tu yasiyotekelezwa.

Walimu wanalipwa laki moja au mbili huko private na wanafanyishwa kazi mchana na usiku na hawaruhusiwi kabisa kuoa au kuolewa. Ukioa tu umejifukuzisha kazi.

Simu huruhusiwi kutumia na ukienda chooni unahesabiwa dakika.

Yeye bado yuko ofisini tu haoni chochote na haraki kujua private kuna nini.

Prof Ndalichako jiuzulu wengine wanaojua wakureprace elimu inaharibika dremendously.

Shule hazifundishwi tena na proffesional twachers bali wahsibu na engineers waliokosa kazi
Umewahi kutoa malalamiko yako sehemu inayostahili ndugu??
 
Hata hajui unyanyasaji unaofanya na waajiri shule binafsi na she doesn't bother kujua yeye kutoa matamko tu yasiyotekelezwa.

Walimu wanalipwa laki moja au mbili huko private na wanafanyishwa kazi mchana na usiku na hawaruhusiwi kabisa kuoa au kuolewa. Ukioa tu umejifukuzisha kazi.

Simu huruhusiwi kutumia na ukienda chooni unahesabiwa dakika.

Yeye bado yuko ofisini tu haoni chochote na haraki kujua private kuna nini.

Prof Ndalichako jiuzulu wengine wanaojua wakureprace elimu inaharibika dremendously.

Shule hazifundishwi tena na proffesional twachers bali wahsibu na engineers waliokosa kazi
Hata hizo laki 2 wanakulipa nyingi sn, wewe unatakiwa upewe chumba na kitanda hapo shuleni basi
 
Hiyo kazi mmeshikiwa bunduki kufanya? Si njaa zako ndo zinakuweka hapo?
 
Wakiona walimu wamekataa watalegeza masharti, tatizo vijana mnajirahisi mno mpaka mnadharaulika.
Unalijua soko huria.

Ondoka Tarime, njoo Dar ujionee.

Watu wanakaa miezi 4 hawajalipwa mishahara na hawana nguvu ya kuacha kazi🤣
 
Hata hajui unyanyasaji unaofanya na waajiri shule binafsi na she doesn't bother kujua yeye kutoa matamko tu yasiyotekelezwa.

Walimu wanalipwa laki moja au mbili huko private na wanafanyishwa kazi mchana na usiku na hawaruhusiwi kabisa kuoa au kuolewa. Ukioa tu umejifukuzisha kazi.

Simu huruhusiwi kutumia na ukienda chooni unahesabiwa dakika.

Yeye bado yuko ofisini tu haoni chochote na haraki kujua private kuna nini.

Prof Ndalichako jiuzulu wengine wanaojua wakureprace elimu inaharibika dremendously.

Shule hazifundishwi tena na proffesional twachers bali wahsibu na engineers waliokosa kazi
Sheria ya kazi imeshaweka minimum wage ni Tsh 270,000 kama kuna mtu analipwa chini ya hapo, ananyonywa. TAESA wanaolipa Tsh 150,000 wajitathmini.
 
Mkuu unachokisema ni sahihi, waajiri sasa hivi wanatamba kuwa walimu ni wengi mtaani. Wanawatambia waajiriwa kuwa mezani kuna barua za applications zaidi ya thelathini, ukizingua anareplace mwingine kwa malipo ya laki moja na nusu na laki mbili.

Wale waajiriwa wa mwanzo ambao mishahara yao ilikuwa kwenye scales za serikali na zaidi wamekuwa wakiondolewa kinyemela.

Pia mikataba ya ajira imekuwa ni kizungumkuti, unaambiwa probation miezi sita iikisha ukijifanya unafatilia sana unaondolewa kinyemela. Serikali inapaswa kulifatilia hili jambo kwa ukaribu na kufanya ukaguzi wa kushitukiza kwenye hizi taasisi, ikiwemo kukagua mikataba, makato ya Kodi, Heslb na NssF.

Mbali ya manyanyaso, dhulma na udhalilishaji wa kitaaluma kwa watumishi, Serikali pia inaibiwa hapa kwenye kodi ya PAYE, maana mshahara wa mwalimu wa degree unapaswa kuanzia ngazi ya TGTSD (Tsh.716,000/=), hawa jamaa hulipa Tsh. 150,000/= hadi laki mbili au tatu, hivyo kuikosesha serikali mapato stahiki ya kodi.

Angalizo, serikali itumie wakaguzi wengine badala ya wakaguzi wa elimu kanda. Maana hawa wanajuana sana na wamiliki wa hizi shule huwajulisha kabla na kupokea vijibahasha waendapo kukagua, zaidi wao huangalia lesson plans, schemes of work na log books wala si mikataba na stahiki za watumishi. Napendekeza iundwe timu ya wataalamu kutoka TRA, NssF, Heslb na Takukuru, kufanya uchunguzi kwenye eneo hili, naimani madudu mengi yataibuliwa.

Waziri wa elimu na yule wa kazi na ajira haya yanawahusu muyafanyie kazi, kwenye PAYE Mwigulu Nchemba naomba nikutag

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Kima cha chini cha mshahara ni shilingi ngapi...?
 
Umewahi kutoa malalamiko yako sehemu inayostahili ndugu??
Kabla hujamlaumu hizo shule binafsi kwanza fuatilia kima cha chini cha mshahara wa sekta binafsi kilichowekwa na serikali yenyewe miaka 8 iliyopita.

Ukishakijua ndio ujiulize hizo shule kuna taratibu zozote wanakiuka ?

Kwa taarifa yako serikali mpaka leo inamlipa mwalimu wa primary Tsh 344,000 Gross! kwa mwezi.

Kuna mashirika ya serikali ambayo wanalipa watu wao mpaka Tsh 170,000.

Mimi nimewahi kufanya kazi kama Mwalimu kwenye shule za jumuiya ya wazazi, CCM walikuwa wananilipa Tsh 130,000 hapo sipewi NSSF wala bima.

Sasa jiulize kama wao wenyewe wako hivyo, hiyo nguvu ya kukutetea wewe ulioko sekta binafsi wataitoa wapi ???
 
Kuwa mwalimu ni wito, vumilieni tu hata wabunge mishahara yao haitoshi...jana walianza kulalamika🐒🤸🤣
 
Sheria ya kazi imeshaweka minimum wage ni Tsh 270,000 kama kuna mtu analipwa chini ya hapo, ananyonywa. TAESA wanaolipa Tsh 150,000 wajitathmini.
Re-visit your sources. Kima cha chini cha mshahara wa sekta binafsi kwa mujibu wa serikali hakizidi Tsh 150,000.
 
Mnalazamishwa kwenda huko ,halafu huwa mnatucheka tunaotengeneza mtaji kitaa kumbe ni watumwa tu. Waziri usiwasikie hao.
 
Sawa.
Ila mpumbavu nadhani ni yule anayekubali kutumikishwa kwa ujira mdogo bila kujali thamani ya elimu aliyonayo.
Mpumbavu huendekeza njaa kama ulivyo wewe.
Mimi nilishakataa kutumikishwa kijinga. Nimewahi acha kazi mara mbili sehemu tofauti nilipoona maslahi duni.
kumbe unajuwa chakufanya? halafu unakuja kuharisha hapa halafu unatembea bila kunawa unanuka nzi wanakufuata , unapoenda kuomba kazi kuna makubaliano kabla huajaanza kazi hapo ndiyo utaambbiwa utalipwa kiasoi gani utakubali au kukataa sasa unakubali mshahara mdogo ili uje utusumbue huku jukwaani pumbavu wewe kwanza njaa itakuuwa na unaonyesha ni kiasigani ulivyo mjinga kuja kuandika ujinga humu
 
Ungeweka na mfano wa shule ingekuwa vema.

Hivi vyama vya wafanyakazi ndio vyakulaumiwa, vimekaa kimya wakati wanachama wake wananyanyasika.

Waziri unamlaumu bure.
Ama kweli Jukwaa limevamiwa. Yaani huyu hajui kama kuna Wizara inashughulika na kazi na masuala ya watumishi? Kazi ya Vyama vya wafanyakazi ni nini?

Mhe Rais wakati wa Mei Mosi aliwataka wafanyakazi kwenye sekta binafsi kutoa taarifa kwa mamlaka husika kama wana changamoto zozote ili hatua stahiki zichukuliwe. Kwa nini hawataki kupeleka malalamiko yao kwenye wizara inayohusika na kazi?
 
Kwanza pole sana. Ila najiuliza tu, kwa uandishi huu na maneno haya ambayo labda ni kiingereza’ “Reprace, dremendously, twachers”, wewe unadhani mtu atakulipa Sh. ngapi ili ufundishe watoto wa watu.

Hayo mengine ya kubaniwa kwenda chooni yanaeleweka.
Mkuu hiyo ni lapse of the tongue tu. Mi nimesoma english medium wala hunikamati kwa kingereza. Mind your own bussiness
 
Back
Top Bottom