Mkuu huyu asikusumbue. Inawezekana yeye anajua akimwaga upupu wake hapa Jamvini ndiyo atapata maslahi yake. Acha aanzishe thread kutwa mara tatu awe anarusha lawama kwa watu wasiohusika inawezekana akipiga dozi hiyo kwa siku saba ataona ... mara pwaaaa, maslahi yake yamepanda
kumbe unajuwa chakufanya? halafu unakuja kuharisha hapa halafu unatembea bila kunawa unanuka nzi wanakufuata , unapoenda kuomba kazi kuna makubaliano kabla huajaanza kazi hapo ndiyo utaambbiwa utalipwa kiasoi gani utakubali au kukataa sasa unakubali mshahara mdogo ili uje utusumbue huku jukwaani pumbavu wewe kwanza njaa itakuuwa na unaonyesha ni kiasigani ulivyo mjinga kuja kuandika ujinga humu