Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini unateseka ukiwa wapi,ulisema Magufuli hakuweza kufanikisha elimu bure sasa tulia sindano iingie vemaSasa ni kawaida. Kila siku watoto wanakuja wanadai hela eti kuna mtihani. Kila siku kuna mtihani. Enough is enough.
Urefu wa kamba huoSasa ni kawaida. Kila siku watoto wanakuja wanadai hela eti kuna mtihani. Kila siku kuna mtihani. Enough is enough.
Umemaliza kaziUrefu wa kamba huo
Stop this nonsense, Magufuli was a Killer! Stop mentioning a killer in sensitive issues like this one!Maskini unateseka ukiwa wapi,ulisema Magufuli hakuweza kufanikisha elimu bure sasa tulia sindano iingie vema
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Shilingi ngapiSasa ni kawaida. Kila siku watoto wanakuja wanadai hela eti kuna mtihani. Kila siku kuna mtihani. Enough is enough.
Hakika mbuzi wa maskini hazai. Na kama unadhani elimu ni gharama, embu jaribu ujinga tuone.Sasa ni kawaida. Kila siku watoto wanakuja wanadai hela eti kuna mtihani. Kila siku kuna mtihani. Enough is enough.
😄😆Umemaliza kazi
Hili suala tulishaliongeleaSasa ni kawaida. Kila siku watoto wanakuja wanadai hela eti kuna mtihani. Kila siku kuna mtihani. Enough is enough.
Wakale wapi?kila mtu anakula ofisini kwakeUko sahihi. Kuna shule inaitwa Sinon Primary ma Secondary inamichango ya kutosha. Mtihani kila wiki sh 2000 kwa nini? Nilipiga hesabu kidogo tu ya wanafunzi 800 mara 2000 mara 4 kwa maana ya mwezi mmoja. Wanakula hela balaa