Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako hana kosa lolote anahukumiwa kimakosa

Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako hana kosa lolote anahukumiwa kimakosa

Ndalichako anafaa sana kuwa mtendaji kama vile Katibu Mkuu na siyo mwanasiasa i.e Waziri ...ndiyo maana kazi zake nzuri za nyuma akiwa mtendaji zimefunikwa na mambo ya kisiasa ....siasa inamuharibia sana huyu mama
 
Aliyemhukumu ni nani? tuwekee hapa hukumu yake tuipitie kabla ya ku comment chochote....
 
Yaaa H uyu mama alikuwa hapendwi sana kwenye awamu fulani. alichukiwa sana kwa Sababu ya misimamo yake na umakini alio nao kwenye elimu,ukiona Keller zinaibuka kila Mahali hivyo, ujue kaanza kuundiwa mizengwe atumbuliwe.Tz vilivyo Vyema huwa havidumu.cku zake kukaa kwenye hicho kiti zinahesabika.Mwendo wa kuundiana zengwe unaendelea.Yeye anajaribu kusimamia sera za elimu,za n chi kama zilivyotungwa,mwingne anaibuka tu na makelele yake kumbeza.
Nimefuatilia kwa ukaribu mjadala unaoendelea kwa sasa kuhusiana na kauli iliyotolewa na mkuu wa mkoa wa dodoma mheshimiwa Mtaka kuhusu kuanzisha makambi ya kitaaluma kwa wanafunzi.

Katika mjadala huo nimesikitishwa sana na maoni ya wadau mbali mbali wanaomnyooshea kidole Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako.

Huyu mama ni mchapakazi mzuri mwenye misimamo isiyoyumbishwa hasa tunapokuja kwenye suala la elimu tangu alipokuwa katibu wa baraza la taifa la mitihani(NECTA).

Lakini tangu apewe dhamana ya uwaziri wa elimu mama wa watu amekuwa akizodolewa hapa na pale kwamba hafai muda mwingine kwa makosa ambayo siyo yake.

Mfano kwenye suala la usimamizi wa elimu, mama ndalichako anasimamia elimu kwa ngazi ya vyuo vya kati na vyuo vikuu huku usimamizi wa elimu ngazi ya msingi na sekondari ukiwa chini ya TAMISEMI ambayo inaongozwa na Ummy Mwalimu.

Cha kushangaza kwenye hili saga la Mkuu wa Mkoa anayelalamikiwa ni Ndalichako lakini watu wanasahau kwamba hilo jukumu la usimamizi wa elimu kwa sasa lipo chini ya tamisemi ambayo inaongozwa na waziri ummy kwahiyo kama ni lawama wanaopaswa kulaumiwa ni TAMISEMI, mama ndalichako anaonewa tu.
 
Ni uongo kuwa watoto wake wanasoma private? kama ameboresha elimu nchini kwanini watoto wake asiwahamishie shule za umma anazozisimamia yeye?
Kwani kakupiga wewe marufuku ya kupeleka mwanao international school??? Mambo mengine tunayaingiza hata hayana uhusiano na utendaji wake!
Isipokuwa tunashambulia tu kwasababu tuna chuki naye!
 
Kwani kakupiga wewe marufuku ya kupeleka mwanao international school??? Mambo mengine tunayaingiza hata hayana uhusiano na utendaji wake!
Isipokuwa tunashambulia tu kwasababu tuna chuki naye!
Chuki na huyo bibi nimewahi kumtongoza akanikataa? maana hajui biashara kwamba nimekutana naye kwenye biashara zangu.
 
Kwanza wizara ya elimu ilikuwa inaendeshwa na mwendazake
 
Aliyemhukumu ni nani? tuwekee hapa hukumu yake tuipitie kabla ya ku comment chochote....
Kuna uzi humu kama sikosei una kichwa cha habari: Antony mtaka vs joyce ndalichako utafute usome comment za watu uone anavyoshambuliwa na wadau
 
Nimefuatilia kwa ukaribu mjadala unaoendelea kwa sasa kuhusiana na kauli iliyotolewa na mkuu wa mkoa wa dodoma mheshimiwa Mtaka kuhusu kuanzisha makambi ya kitaaluma kwa wanafunzi.

Katika mjadala huo nimesikitishwa sana na maoni ya wadau mbali mbali wanaomnyooshea kidole Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako.

Huyu mama ni mchapakazi mzuri mwenye misimamo isiyoyumbishwa hasa tunapokuja kwenye suala la elimu tangu alipokuwa katibu wa baraza la taifa la mitihani(NECTA).

Lakini tangu apewe dhamana ya uwaziri wa elimu mama wa watu amekuwa akizodolewa hapa na pale kwamba hafai muda mwingine kwa makosa ambayo siyo yake.

Mfano kwenye suala la usimamizi wa elimu, mama ndalichako anasimamia elimu kwa ngazi ya vyuo vya kati na vyuo vikuu huku usimamizi wa elimu ngazi ya msingi na sekondari ukiwa chini ya TAMISEMI ambayo inaongozwa na Ummy Mwalimu.

Cha kushangaza kwenye hili saga la Mkuu wa Mkoa anayelalamikiwa ni Ndalichako lakini watu wanasahau kwamba hilo jukumu la usimamizi wa elimu kwa sasa lipo chini ya tamisemi ambayo inaongozwa na waziri ummy kwahiyo kama ni lawama wanaopaswa kulaumiwa ni TAMISEMI, mama ndalichako anaonewa tu.
We unafikiria kwa kutumia tumbo si ubongo.
 
Kwani ni yeye tu anayesomesha watoto private? Vipi mawaziri wengine wao hawasomeshi watoto wao private? Kwanini ahukumiwe yeye tu kwa kosa la kimfumo?
Acha kufikiri kwa kutumia tumbo, yeye ndiye waziri husika wa elimu unataka alaumiwe nani? Inabidi abebe msalaba wake.
 
Kwanza wizara ya elimu ilikuwa inaendeshwa na mwendazake

Acha kufikiri kwa kutumia tumbo, yeye ndiye waziri husika wa elimu unataka alaumiwe nani? Inabidi abebe msalaba wake.
Ndalichako anahusika na elimu ya vyuo vya kati na vyuo vya juu. Ngazi ya msingi na sekondari elimu inasimamiwa na Tamisemi sasa kosa la ndalichako liko wapi? Mbona hamumlaumu waziri wa Tamisemi?
 
Ni uongo kuwa watoto wake wanasoma private? kama ameboresha elimu nchini kwanini watoto wake asiwahamishie shule za umma anazozisimamia yeye?
Kwani ni kosa kusomesha watoto private?
Wapeleke na wa kwako private
 
Ndalichako anafaa sana kuwa mtendaji kama vile Katibu Mkuu na siyo mwanasiasa i.e Waziri ...ndiyo maana kazi zake nzuri za nyuma akiwa mtendaji zimefunikwa na mambo ya kisiasa ....siasa inamuharibia sana huyu mama
Huyu mama hawezi pendwa sababu si mwanasiasa. Watanzania wanapenda wanasiasa.
 
Eti mchapakazi.....
Mchapakazi gani hajui kiingereza?
Kiingereza ndio medium of instruction kuanzia f0m wan mpaka PhD, Sasa Kama hajui lugha hiyo kazi ataichapaje?
 
Nimefuatilia kwa ukaribu mjadala unaoendelea kwa sasa kuhusiana na kauli iliyotolewa na mkuu wa mkoa wa dodoma mheshimiwa Mtaka kuhusu kuanzisha makambi ya kitaaluma kwa wanafunzi.

Katika mjadala huo nimesikitishwa sana na maoni ya wadau mbali mbali wanaomnyooshea kidole Waziri wa Elimu Prof. Joyce Ndalichako.

Huyu mama ni mchapakazi mzuri mwenye misimamo isiyoyumbishwa hasa tunapokuja kwenye suala la elimu tangu alipokuwa katibu wa baraza la taifa la mitihani(NECTA).

Lakini tangu apewe dhamana ya uwaziri wa elimu mama wa watu amekuwa akizodolewa hapa na pale kwamba hafai muda mwingine kwa makosa ambayo siyo yake.

Mfano kwenye suala la usimamizi wa elimu, mama ndalichako anasimamia elimu kwa ngazi ya vyuo vya kati na vyuo vikuu huku usimamizi wa elimu ngazi ya msingi na sekondari ukiwa chini ya TAMISEMI ambayo inaongozwa na Ummy Mwalimu.

Cha kushangaza kwenye hili saga la Mkuu wa Mkoa anayelalamikiwa ni Ndalichako lakini watu wanasahau kwamba hilo jukumu la usimamizi wa elimu kwa sasa lipo chini ya tamisemi ambayo inaongozwa na waziri ummy kwahiyo kama ni lawama wanaopaswa kulaumiwa ni TAMISEMI, mama ndalichako anaonewa tu.
Kwa hiyo hata lugha ya Malkia anaiweza?
 
Eti mchapakazi.....
Mchapakazi gani hajui kiingereza?
Kiingereza ndio medium of instruction kuanzia f0m wan mpaka PhD, Sasa Kama hajui lugha hiyo kazi ataichapaje?
Nashangaa mnavyoshikilia bango suala la kiingereza

Kwani Kiingereza kina impact gani kwenye utendaji kazi wa mtu?

Nyie ndio wale wale ambao bado mnaishi katika mentality za kikoloni za kufikiri kujua kiingereza ndio kuelimika
 
Ndalichako huenda amekuwa mwiba kwenye maamuzi ya Baraza la mawaziri kutokana na misimamo yake. Ndo maana enzi za JK aliamua kuachia uongozi Baraza la mitihani huenda anatafutiwe zengwe aondolewe.Maana JK Sasa anakuja kwa namna nyingine.
Very intelligent yeye ni Mgalatia na anatakiwa awapishe wafanye yao/tufanye yetu
 
Back
Top Bottom