Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba awataka Watanzania kuacha tabia ya kuhifadhi fedha nyumbani

Ukawii kusikia bank imekuwa mufilisi na vi amana vyenyewe kwishinei.................
 
Amini nakwambia kutunza chini ya mto kwenye hii nchi ya Watawala Walamba Asali ni Salama kuliko huko kwenye Mabenki kwenye Matozo na Makato kila Kona.... Unless Jamaa ana-Tanzania yake kwenye Jamuhuri ya Kichwa chake...
 

Kabla ya kuwashauri wananchi kuwa wasiweke fedha zao kwenye vibubu nyumbani wapeleke benki, Mwigulu ulitakiwa ufanya utafikti na kujua sababu zinazowafanya watu wasiweke fedha zao benki!
Moja ya sababu inayofanya Watu waweke fedha zao nyumbani ni benki kutotunza siri za miamala ya wateja wao [non confidentiality of customers information}. benki zinatakiwa zitunze siri za wateja wao kuhusu miamala yao lakini si hivyo tena siku hizi!! TRA wanaweza kwenda benki na kufungua account za wateja wanavyotaka wao. Si hivyo tu wafanyakazi wa benki wanatoa taarifa za account za wateja kwa matapeli wa Simu na majambazi!!

Sababu ya pili inayowafanya Watu waweke Fedha zao nyumbani ni utitili wa bank charges amabzo ni unjustified. It does not make sense kumtoza mteja kwa kutoa fedha zake! BOT wanatakiwa wachunguze bank charges za haya mabenki na kuona kama kweli wanastahili kuwatoza wateja wao. Mfano mzuri anagalia statement ya CRDB bank ya mwezi mmoja uone kiasi gani kinakusanywa toka kwa mteja kwa mwezi mmoja kama bank charges!!

Haya mambo yote yako chini ya uwezo wa wizara ya Fedha kuyarekebisha lakini kwa kuwa Serikali ina kipaumbele cha kukusanya TOZO tu bila kujua athari zake kwa jamii ndio maana tumefika hapo tulipofika.
 
Watawalafa ni wanafiki sana wao wanaanglali tu ma VAT waliyoyawka ndani il saa100 amepate hela za kuzurura uaesbun na kununua magoli ya yanga
 
Amini nakwambia kutunza chini ya mto kwenye hii nchi ya Watawala Walamba Asali ni Salama kuliko huko kwenye Mabenki kwenye Matozo na Makato kila Kona.... Unless Jamaa ana-Tanzania yake kwenye Jamuhuri ya Kichwa chake...
Mabenk ya matozo sojui ma VAT mengi mmno unaweza kushanga ukafanya transaction 100 ukawa umewapa bank na serikila kama 100000 hivi za bure
 
Hiyo tabia haitakoma kutokana na utaratibu wa sheria za hovyo tulizonazi sasa.

Mfano mamlaka ya kuzuia akaunti za wateja katika benki amepewa kamishna mkuu wa TRA lakini unakuta zinatekelezwa hadi na maafisa wa kawaida.

Kwanza hii sheria ingeangaliwa upya na kuwa na namna ngumu ya kuitekeleza ikiwa ni pamoja kamishna mwenyewe kutoa agizo hili sio kwa kukaimisha mtu. Hii itasaidia hawa maafisa njaa kuacha kuwaonea wafanyabiashara.
 
Pesa zikiwepo benki hasa zikiwa nyingi TRA wanazitaka kwa udi na uvumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…