Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha wakuu wengine hatumjui,RIP father mgimwa.
R.I.P. waziri wetu pia poleni wafiwa wote yoye ni mipango ya Allah.
Haisaidii kwani hata kama amefariki, mashine zile zitaendelea kusisitizwa kutumika kwani ndo mfumo wa kisasa wa mataifa mengi katika kukusanya kodi! Poleni wafiwa. Jipeni moyo!Kama alihusika kubuni Mradi wa EFD machine za TRA, itakuwa Mungu imesikia kilio cha wafanyabiashara tusio na mitaji mkubwa tuaolazimshwa kununa EFD.
Kaugua muda mrefu tu.
Mkuu MM ni ww uliyekuwa tanna kumar as auditor ambaye ss upo TGT nimejichanganya?Same !
Dunia mapito jamani!
Hata hivyo,wengine saa hizi wanawaza kurithi nafasi yake katika baraza la mawaziri!