TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

Duh! Rest in Peace Dr. Mgimwa. Kwa kweli hata kwa kumuangalia huyu jamaa hakuwa mzima sana kiafya. Sijui kwanini alikubali madaraka makubwa vile. Apumzike kwa amani.
 
Dunia mapito jamani!

Hata hivyo,wengine saa hizi wanawaza kurithi nafasi yake katika baraza la mawaziri!
 
so sad.....hivi alkuwa Waziri wa?.....
Nakumbuka matamko yake ya kupinga Nikataba ya siri pia kupinga wachina kuja kufanya biashara kariakoo na mitaji la Million kumi
 
R.I.P Dr. Mgimwa. Tukafanye tathimini jimboni kwake najua kuko wazi zaidi na ninafasi kwa CDM kuongeza mbunge baada ya ZZK kubaki kama mbunge wa mahakama. Najua Kandoro anatamani hilo jimbo la nyumbani kwao naomba abaki akalie mkoa wenye uchumi wa tatu kwa TZ (Mbeya) asihangaike chama chao hakiwezi kushinda. Najua ni baada ya miezi mitatu nec itatangaze. Ok tusubiri.
 
siamini hadi serekali itangaza au nione jeneza lake mmemzushia sana,wakuda
 
Mods msihangaike kufunga taarifa za msiba wa mzee mgimwa(waziri). Its true amefariki. Nimepata habari toka very reliable source. Bwana alitoa na Bwana ametwaa,jina lake libarikiwe..
RIP mzee wetu...kustaafu utumishi wa umma kisha kuingia kwenye siasa sidhani kama ni chaguo zuri hata kidogo kwa siasa hizi za kibongo bongo...
 
Back
Top Bottom