TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

Hivi alikuwa anaumwa nini?bill yake huko si mchezo
 
Nyeee himagava ngayalukani, umkwamisi Wilyamu afwe deni de?

Vahungilage na va Mng'anzagala, va Maseto, va Chimbilongo, va Lihangawike, va Julyasi, va Pyangidako, va Sengidunda, va Kihulo na vangi mbevali.

Ndemwisukuluwo ndilimumigo ya kuyipilula inyi mumawoko ga vanyainyi.

Twisuka utwimilile tuyipilule inyi iyi pe tufisile 2015

Sitaki kuamini kama na ww ni wa dizaini hii. kwa nn usinge omboleza kiswahili tukakuelewa?
 
Hakwenda Apolo ndo maana. RIP Mgimwa japo Nape alisema wewe ni Mzigo bt Msamehe tu.
 
Mungu aiweke Roho yake Mahala panapostahili,Amein.
 
Jamani hizi habari zimeanza kitambo sana kuzushwa na hakuna uthibitisho wwt sitatoa r.i.p yangu mpaka serikali iidhinishe au itangaze.
 
Tumeuanza mwaka vibaya.
so sad, may He RIP.
 
Nyeee himagava ngayalukani, umkwamisi Wilyamu afwe deni de?

Vahungilage na va Mng'anzagala, va Maseto, va Chimbilongo, va Lihangawike, va Julyasi, va Pyangidako, va Sengidunda, va Kihulo na vangi mbevali.

Ndemwisukuluwo ndilimumigo ya kuyipilula inyi mumawoko ga vanyainyi.

Twisuka utwimilile tuyipilule inyi iyi pe tufisile 2015
kumbe wewe mtani,mla mbwa,poleni sana
 
Back
Top Bottom