Kiyoya
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,744
- 979
Sikupata kujua kuna watu wanachuki kiasi hikiRip mgimwa poleni ndugu na familia. Afadhari gamba moja limepungua pole sisiem mungu anasaidia kupunguza idadi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikupata kujua kuna watu wanachuki kiasi hikiRip mgimwa poleni ndugu na familia. Afadhari gamba moja limepungua pole sisiem mungu anasaidia kupunguza idadi.
Nyeee himagava ngayalukani, umkwamisi Wilyamu afwe deni de?
Vahungilage na va Mng'anzagala, va Maseto, va Chimbilongo, va Lihangawike, va Julyasi, va Pyangidako, va Sengidunda, va Kihulo na vangi mbevali.
Ndemwisukuluwo ndilimumigo ya kuyipilula inyi mumawoko ga vanyainyi.
Twisuka utwimilile tuyipilule inyi iyi pe tufisile 2015
Aisee Km ni kweli ni Habari ya kusikitisha sn! Yani mnasikia tu mtu kafa bila ata kuugua?!
Baada ya kufuatilia vyanzo vya uhakika, niliwataarifu TBC ambao hawakuwa na habari yeyote mpaka nilipokuwa nazungumza nao. Ninashukuru kwamba wamefuatilia na kuthibithisha na walinipigia simu kunishukuru na tayari wametoa kama breaking news. Mheshimiwa Raisi yuko kwenye kipindi kigumu sana, badi sitaelewa kamwe wanaoukimbilia uongozi wakati ni msalaba mzito lazima awe mwizi fisadi na fedhuli hawezi kuwa mtu mwenye nia njema! Nyakati ngumu kama hizi kama umekimbilia madaraka huwezi kuwa na busara za kuweza kumudu kipindi kigumu kama hiki!Nimepokea taarifa ya kusikitisha.
Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii
what do you mean taarifa rasmi! ina maana mnaweza kuja kusema he is still alive?
If it`s true so painful
Nyongise ulonzile mbegali, tukangalage kuno twilumba..
Inguluvi ikutange Mnyalukolo...mvaha vangu,kuna munu akatigile vakusopye va mbeva,umulomo huu nene...Alee gendelage uludodifu,ulukafu luladenyeka...Vahungilage va maseto, mng'anzagala,mahuvi,mhafiwa,va sengelingosi...mbevalii....longolage myaaa
Daaahhh sauz hawarudi wakienda!!!!!??????