Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mbinu rahisi ya kuzima mjadala ni kukatisha tamaa, sasa ilikuwaje kikabitishwa kisichoeza kurekebishwa?Waziri Mheshimiwa Dkt. Mwigulu kasema kodi zote tayari zimepitishwa na Bunge hivyo hawezi kuziondoa hata kama tutapiga kelele usiku na mchana , kwa hiyo tutulie sindano iingie vizuri mpaka tuseme inyeeeeeee!!!!!
tatizo wabunge hawajitambui , kazi kupokea hela zisizokatwa kodi , matatizo kama haya hawayajui , tutamlaumu Dkt. mwigulu bure , sasa solution ni hii hapa , wewe mtanzania kamata libunge lako popote lilipo liulize umefanya nini bungeni ? akishindwa kukujibu wewe ambaye ndie bosi piga mtama....Kwahiyo mbinu rahisi ya kuzima mjadala ni kukatisha tamaa, sasa ilikuwaje kikabitishwa kisichoeza kurekebishwa?
tatizo wabunge hawajitambui , kazi kupokea hela zisizokatwa kodi , matatizo kama haya hawayajui , tutamlaumu Dkt. mwigulu bure , sasa solution ni hii hapa , wewe mtanzania kamata libunge lako popote lilipo liulize umefanya nini bungeni ? akishindwa kukujibu wewe ambaye ndie bosi piga mtama....Kwahiyo mbinu rahisi ya kuzima mjadala ni kukatisha tamaa, sasa ilikuwaje kikabitishwa kisichoeza kurekebishwa?
Huyu bwana mdogo no dikteta ukubwa,anaroho ya kinyamaWaziri Mheshimiwa Dkt. Mwigulu kasema kodi zote tayari zimepitishwa na Bunge hivyo hawezi kuziondoa hata kama tutapiga kelele usiku na mchana , kwa hiyo tutulie sindano iingie vizuri mpaka tuseme inyeeeeeee!!!!!
Siyo lazima zifutwe lakini zinaweza kusitishwaWaziri Mheshimiwa Dkt. Mwigulu kasema kodi zote tayari zimepitishwa na Bunge hivyo hawezi kuziondoa hata kama tutapiga kelele usiku na mchana , kwa hiyo tutulie sindano iingie vizuri mpaka tuseme inyeeeeeee!!!!!
Waziri Mheshimiwa Dkt. Mwigulu kasema kodi zote tayari zimepitishwa na Bunge hivyo hawezi kuziondoa hata kama tutapiga kelele usiku na mchana , kwa hiyo tutulie sindano iingie vizuri mpaka tuseme inyeeeeeee!!!!!
Shida kubwa ilianzia pale,wajumbe wakweli walipopuuzwa na badala yake mkono wa chuma kutumika.tatizo wabunge hawajitambui , kazi kupokea hela zisizokatwa kodi , matatizo kama haya hawayajui , tutamlaumu Dkt. mwigulu bure , sasa solution ni hii hapa , wewe mtanzania kamata libunge lako popote lilipo liulize umefanya nini bungeni ? akishindwa kukujibu wewe ambaye ndie bosi piga mtama....
Tatizo kuna ulemavu katika ufikiri na ubunifu wa viongozi! Nilitegemea viongozi wafurahie kuona mwananchi anasitawi na mwenye furaha! Wao ndio kwanza wanapokonya! Tanzania ina utajiri wakutosha kwenye hii ardhi nashindwa kuelewa kwanini hautumiki kwa miaka 60 sasa tokea uhuru! Yaani serikali inavizia mwananchi wakawaida una nini mfukoni ndio wakubunie kodi!? Eti za kujenga mabarabara, binafsisheni barabara kwa makampuni makubwa ya ulaya watujengee sisi wananchi barabara za uhakika sio hizi zenu za changarawe mashimo kila mahali! tutalipia matumizi ya barabara nyie mchukue kodi kwa hizo kampuni! wanaiga ulaya hizi sera, tanzania inatakiwa ibuni mfumo wake mwenyewe wa uchumi tutatoboa! Mwigulu, watanzania wanaakili nikwambie tu! Kama % 98 wamejiajiri na hawaombi chakula cha msaada huko bungeni mnakotutungia matuta ya kutupungizia speed ya kufanikiwa hili litakwama na biasha ya kibenki kwa njia ya simu inaenda kufa trust me nakuja kuifufua sidhani kama mtaaminika tena!Waziri Mheshimiwa Dkt. Mwigulu kasema kodi zote tayari zimepitishwa na Bunge hivyo hawezi kuziondoa hata kama tutapiga kelele usiku na mchana , kwa hiyo tutulie sindano iingie vizuri mpaka tuseme inyeeeeeee!!!!!
Alicho kuwa ana tuaminisha na kilicho tokea ni tofauti.Kwahiyo mbinu rahisi ya kuzima mjadala ni kukatisha tamaa, sasa ilikuwaje kikabitishwa kisichoeza kurekebishwa?
Una mandate gani ya kumhoji mtu ambaye hukumpa hiyo nafasi?tatizo wabunge hawajitambui , kazi kupokea hela zisizokatwa kodi , matatizo kama haya hawayajui , tutamlaumu Dkt. mwigulu bure , sasa solution ni hii hapa , wewe mtanzania kamata libunge lako popote lilipo liulize umefanya nini bungeni ? akishindwa kukujibu wewe ambaye ndie bosi piga mtama....
Tuambie wewe mwenzetu vipi?Huo ndio ukweli. Watanzania kwanini hampendi kulipa kodi?
Wapandishe tena hata mara kumi ya hiyo waliyoweka ili akili zitukae sawaWaziri Mheshimiwa Dkt. Mwigulu kasema kodi zote tayari zimepitishwa na Bunge hivyo hawezi kuziondoa hata kama tutapiga kelele usiku na mchana , kwa hiyo tutulie sindano iingie vizuri mpaka tuseme inyeeeeeee!!!!!