Ya Basil Pesambili Mramba 'Hata kama WaTanzania watakula nyasi ndege ya Mkapa lazima inunuliwe" (In Chaga lafudhi)Waziri Mheshimiwa Dkt. Mwigulu kasema kodi zote tayari zimepitishwa na Bunge hivyo hawezi kuziondoa hata kama tutapiga kelele usiku na mchana , kwa hiyo tutulie sindano iingie vizuri mpaka tuseme inyeeeeeee!!!!!