Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Jana usiku wa manane nimeota kuwa nchi inaongozwa na Mapaka😁😁😁
View attachment 2328351
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jana usiku wa manane nimeota kuwa nchi inaongozwa na Mapaka😁😁😁
View attachment 2328351
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naunga mkono hoja yan ningekuwa mchaw ningemroga iyo tai imnyonge
KabisaAkitumbuliwa lazima nijipongeze na ulabu.
Maisha binafsi ya Mwigulu wewe yanakuathiri vipi?Wananchi wanaumia kwa sababu yako na tozo zako ambazo pamoja na kuzichukua zinawanufaisha nyie na familia yenu na kikundi chenu.
Acha kudhalilisha bendera yetu kwa kuwaumiza wanachi na matozo ya kila aina mmekosa ubunifu bidhaa zimepanda bei bado unaendelea kuweka tozo hivi wewe na serikali yako hamuoni aibu, tembea mtaani hasa vijijini muone maisha yanavyochapa watu.
Asubuhi ukiamka wewe hujui njaa mda wote kiuno kipo kwenye V8 na kiyoyozi kumbuka hayo yote hamuwezi kuyapata bila wananchi oneni huruma muwapunguzie mzigo wananchi.
Kwa Sababu utateuliwa wewe?Akitumbuliwa lazima nijipongeze na ulabu.
La hasha,ila roho yangu itafarijika sana.Kwa Sababu utateuliwa wewe?
Kwanza sijaelewa jomba, hivi kwa nini Zenji Bei ya mafuta ipo chini..100% jana naweka mafuta ya 20k inakuja risiti ni lita 5.6. Then wanatumia bei ya nchi ambazo uchumi uko juu kufanya justication ya wizi wao.
Atakuwa anaambiwa na mke wake. Kichwa ngumu tuHivi hana mtu wa kumweleza kuwa hupendezi na mitai yake
Tena kwa kodi zetuHivyi nyie mnafikiri wale wabrazil pale singida big stars wanalipwa nini???