Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba tunaomba uachane na uvaaji wa tai zenye rangi ya bendera ya Tanzania

Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba tunaomba uachane na uvaaji wa tai zenye rangi ya bendera ya Tanzania

Huwa nikiliona na hizo tai za bendera ya taifa natamani kutapika kabisa na vindevu vyake vya kama limeuma kuku. Ila haya yana mwisho, wana CCM tunapitia kipindi kigumu mno. Rais Samia ondoa hii takataka weka Dkt Ashatu Kijaji awe waziri wa Fedha na Mipango
Mwigulu ni Homa ya Taifa hasa nafasi aliyonayo.
 
Ipo siku mwingula akaukwa urais sijui itakuaje mnk huu jama Ni fighter tokea akiwa iliboru Kam hp na Sasa mmbuge na wazir feki

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
waziri huyo hajawahi kuongoza wizara yoyote isimshinde kodi tulizopewa na mungu watu wanachukua chao mapema halafu mnakuja kwa wananchi wa kipato cha chini mnawabebesha mizigo lukuki ya kodi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mwigulu mungu anakuona huko ulipo
 
No synchrony no emphasis.
Fake fake fake Mr.Snake in Chemba
 
Wataalam wa uchumi hatuna, wanasheria hatuna, wote wameufyata
 
Mikopo kibao. Tozo kibao. Lakini hata kinachoendelea hakionekani. Bwawa la umeme kule sijui limefikia wapi.

Ulaya, Marekani na kule Scandinavia kodi ni kubwa lakini na matumizi yake unayaona. Huduma bora angalau. Sasa sisi mihela yote hii inawanufaisha wachache tu.

Inasikitisha sana!
IMG-20220819-WA0107.jpg
 
Huwa nikiliona na hizo tai za bendera ya taifa natamani kutapika kabisa na vindevu vyake vya kama limeuma kuku. Ila haya yana mwisho, wana CCM tunapitia kipindi kigumu mno. Rais Samia ondoa hii takataka weka Dkt Ashatu Kijaji awe waziri wa Fedha na Mipango
Mnamkwepa mama tozo?
Unafikiri Mwigulu amejiamulia? Huyo ametumwa tu
 
Lipa kodi Acha kulialia unadhani maendeleo yanakuja kwa ndoto?
 
Yaani mtu anavaa nguo zenye bendera ya Taifa halafu anawaambia watanzania wenzake wahamie Burundi!?.
Enzi za J K.Nyerere huyu angemuita "mshenzi".
 
Ni kweli, Nchemba ni kiazi, kila wizara aliyopita ni majanga matupu. Lakini bado CCM wana recycle na ku re-use!

Maza pia abebe some responsibilies, huu uovu unafanywa kwa jina la serikali yake.
mwigulu kila nikimuona nahisi nimeona mtu katili, jeuri na kiburi mwenye majivuno na asiye jali wengine anaye jiona yeye yuko smart na anajua mambo ya uchumi zaid ya Rais na mawaziri wengine wote ni mtu mwenye mipango yake miovu ya siri sana, kifupi mwigulu hana nia njema na mama samia ingawa mama anamuamini sana na mwigulu anajiaminisha kwa mama.
 
Back
Top Bottom