Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba tunaomba uachane na uvaaji wa tai zenye rangi ya bendera ya Tanzania

Maisha binafsi ya Mwigulu wewe yanakuathiri vipi?

Achana kabisa na Comrede Mwigulu Rais wa Tanzania 2030..
 
[emoji48][emoji49][emoji49][emoji49][emoji49][emoji49][emoji49][emoji49][emoji49] mwigulu hatoshi kwenye wizara hiyo.
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu Mchunga Ng'ombe, tutafika tumechoka sana.
 

Attachments

  • 2865649427090887744.mp4
    781.7 KB
Uchumi wa Tanzania unafikirisha sana. Mikopo mingi, tozo nyingi!
 
Bora hata lile zezeta la Mwibara linalotembea na ilani linamshinda Lameck.
 
100% jana naweka mafuta ya 20k inakuja risiti ni lita 5.6. Then wanatumia bei ya nchi ambazo uchumi uko juu kufanya justication ya wizi wao.
Kwanza sijaelewa jomba, hivi kwa nini Zenji Bei ya mafuta ipo chini..
 
Jana katutukana tena.

Na Rais yupo kimya Waziri wake anatukana wananchi.
 
Bora ubwabwa
 

Attachments

  • Screenshot_20220819_173229.jpg
    53 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ