Waziri wa Fedha na Mipango ateuliwe Profesa Musa Assad

Hiyo ni sawa sawa na kufikiria kuwa Lissu anaweza kuwa Rais wa Tanzania kisha amteue Shogake Amsterdam kuwa Vice President!
 
Sijui ni katiba gani umesoma (labda kuna toleo jipya) lakini mawaziri baada ya kula kiapo cha uwaziri, hula kiapo cha kufuata maadili ya utumishi wa umma mbele ya kamishna wa maadili, kiapo hicho ni kwa mujibu wa kanuni za utumishi wa umma za 2003.
Back to the point, lengo la framers kuzuia cag kuwa appointed kwa nafasi yeyote ila mara na baada ya kushika wadhifa huo ni kumfanya cag awe huru katika kazi yake bila uwoga wala upendeleo, (fear or favour)
Imagine cag anayewaza uteuzi atafanya kazi kuwafurahisha wanaoteua, au atafunika baadhi ya mapungufu kuhofia kuwauzi wateuzi in future.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…