Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Hiyo ni sawa sawa na kufikiria kuwa Lissu anaweza kuwa Rais wa Tanzania kisha amteue Shogake Amsterdam kuwa Vice President!Ikimpendeza Mheshimiwa Rais, anaweza kumteua Prof. Assad kuwa Mbunge na kisha kuteuliwa Waziri wa Fedha na Mipango.
Sina shaka na utendaji wake hasa akiwa CAG, alisimama imara hali iliyompelekea kukumbwa na mizengwe ya wachumia tumbo.
Umri hauwezi kuwa kikwazo sababu tuna Mawaziri wengi wenye umri mkubwa zaidi yake.