Kwa kuwa kila anayesimama anasema tutamuenzi kiongozi wetu Hayati JPM, basi waziri wa ujenzi na yule wa fedha msije kusahau kuwa kabla ya umauti kumkuta mzee wetu alikuwa ameagiza TANROAD kuanza kushughulika na barabara za jimbo la Kibamba kwa maana ni jimbo pekee ndani ya Dar ambalo lina chini ya asilimia 5 tu ya barabara za lami.
Kati ya hizo asilimia nadhani zitakuwa zinabebwa na barabara ya Morogoro, kipandw kidogo cha kwenda Muloganzila, sehemu ya barabara ya kwenda kinyerezi, sehemu ya barabara ya goba, pamoja na ka kipande ka kwenda maji ya chumvi.
Yaani ndo jimbo lenye barabara mbaya kuliko zote za mkoa wa Dar. Basi kama tunamuezi JPM, tunategemea kuona mambo ya barabara za Kibamba yakianza mapema iwezekanavyo baada ya bajeti.
Kati ya hizo asilimia nadhani zitakuwa zinabebwa na barabara ya Morogoro, kipandw kidogo cha kwenda Muloganzila, sehemu ya barabara ya kwenda kinyerezi, sehemu ya barabara ya goba, pamoja na ka kipande ka kwenda maji ya chumvi.
Yaani ndo jimbo lenye barabara mbaya kuliko zote za mkoa wa Dar. Basi kama tunamuezi JPM, tunategemea kuona mambo ya barabara za Kibamba yakianza mapema iwezekanavyo baada ya bajeti.