Waziri wa Fedha na Waziri wa Ujenzi, msijisahaulishe kuweka ahadi ya barabara za jimbo la Kibamba aliyotoa JPM (RIP) wakati akizindua stand ya mbezi

Waziri wa Fedha na Waziri wa Ujenzi, msijisahaulishe kuweka ahadi ya barabara za jimbo la Kibamba aliyotoa JPM (RIP) wakati akizindua stand ya mbezi

Kwasenga

Member
Joined
Feb 24, 2021
Posts
55
Reaction score
53
Kwa kuwa kila anayesimama anasema tutamuenzi kiongozi wetu Hayati JPM, basi waziri wa ujenzi na yule wa fedha msije kusahau kuwa kabla ya umauti kumkuta mzee wetu alikuwa ameagiza TANROAD kuanza kushughulika na barabara za jimbo la Kibamba kwa maana ni jimbo pekee ndani ya Dar ambalo lina chini ya asilimia 5 tu ya barabara za lami.

Kati ya hizo asilimia nadhani zitakuwa zinabebwa na barabara ya Morogoro, kipandw kidogo cha kwenda Muloganzila, sehemu ya barabara ya kwenda kinyerezi, sehemu ya barabara ya goba, pamoja na ka kipande ka kwenda maji ya chumvi.

Yaani ndo jimbo lenye barabara mbaya kuliko zote za mkoa wa Dar. Basi kama tunamuezi JPM, tunategemea kuona mambo ya barabara za Kibamba yakianza mapema iwezekanavyo baada ya bajeti.
 
Kwa kuwa kila anayesimama anasema tutamuenzi kiongozi wetu Hayati JPM, basi waziri wa ujenzi na yule wa fedha msije kusahau kuwa kabla ya umauti kumkuta mzee wetu alikuwa ameagiza TANROAD kuanza kushughulika na barabara za jimbo la Kibamba kwa maana ni jimbo pekee ndani ya Dar ambalo lina chini ya asilimia 5 tu ya barabara za lami.

Kati ya hizo asilimia nadhani zitakuwa zinabebwa na barabara ya Morogoro, kipandw kidogo cha kwenda Muloganzila, sehemu ya barabara ya kwenda kinyerezi, sehemu ya barabara ya goba, pamoja na ka kipande ka kwenda maji ya chumvi.

Yaani ndo jimbo lenye barabara mbaya kuliko zote za mkoa wa Dar. Basi kama tunamuezi JPM, tunategemea kuona mambo ya barabara za Kibamba yakianza mapema iwezekanavyo baada ya bajeti.
hasa Barabara ya Maji chumvi muhimu sana inasaidia sana kuepuka foleni za buguruni na tabata
 
Gazeti la raia mwema la leo tarehe 3/5/2023 limekumbushia hili jambo. Tunaomba wizara ya ujenzi hili jimbo lisaidiwe kwa dharura. Hali ni mbaya mno.
 
Back
Top Bottom