Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Mtumishi wa Umma atakeyeteuliwa kwenye nafasi za kuteuliwa baadaye akatenguliwa nafasi aliyoteuliwa basi arejee kwenye mshahara ule wa awali kabla hajateuliwa.
Amesema kuwa kumlipa mtu mshahara wa nafasi ambayo hayupo tena (aliyokuwa ameteuliwa) ni kuwabebesha mzigo mkubwa Watanzania. Mtu akitenguliwa mara moja na mshahara alipwe ule wa nafasi aliyokuwa awali.
Amesema kuwa kumlipa mtu mshahara wa nafasi ambayo hayupo tena (aliyokuwa ameteuliwa) ni kuwabebesha mzigo mkubwa Watanzania. Mtu akitenguliwa mara moja na mshahara alipwe ule wa nafasi aliyokuwa awali.