Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba awajibu TLS kuhusu Rais Samia Suluhu kuteua Baraza jipya la Mawaziri

Mwambie na yeye akienda kuapishiwa kichochoroni badala ya Ikulu. Sasa kwa vile ni mzee wa matamaa anataka kuendelea na upuuzi.
 
Utalia na kufa, baada ya saa 9 jioni ya leo. Uliekuwa huwataki mmoja wao ni makamu wa Rais.
 
Mwigulu mwongomwongo sana uyo anatetea ugali tu...
 
Mwigulu anapaswa afaham kuwa Rais HAPANGIWI, Tena akipangiwa ndio hafanyi kbs. Kwa voice ya the late JPM
 
Bush lawyer ... nashauri Mwigulu aache kwanza wanaojua sheria walumbane mwisho tutapata muafaka. Halafu hii hulka ya kutaka KUWANYAMAZISHA watu utaiacha lini kaka Mwigulu???
Anajiona yeye ndiye kila kitu hapa Tz. Kumbe sivyo, huyu madelu ana kaujuaji hivi!.
 
Huyu mama Samia asipoiga udikteta wa jiwe kwa hizi siku mbili tatu watampasua kichwa kwa maushari na makelele kitoka kila kona, hawa TLS walikuwaga wapi kipindi kile Jiwe linaikanyaga Katiba na kufanya neno lake kuwa sheria.
Kama hawakusema wakati ule, na sasa wanyamaze! Tuna vilaza kila aina. Wewe wa hovyo kabisa. TLS imejulikana sana katika awamu ya tano. Ikafikia hatua serkali ikataka kutia mkono TLS. Serkali ambayo haikufuata katiba wala sheria ilisemwa sana na TLS. Ulikuwa wapi? Tundu Lissu, Fatuma Karume na sasa Nshala wote ilikuwa miiba!
 
Hakuna excuse yoyote ya kuvunja katiba kwani kuna ugumu gani kuwatambua kama waziri mkuu na mawaziri wa awamu ya tano? Lkn tunaposema raisi samia ameendesha kikao cha baraza la mawaziri na wakati yeye ni raisi wa awamu ya sita na wao ni mawaziri wa awamu ya tano, hatuko saawa
 
Hapo kwa PM hapana aisee aendelee tu binafsi namuelewa sana
 
Naona logic ya maombolezo ya siku 21 kuwa siku 14 kuunda serikali, siku 7 kufanya taratibu za maziko . TLS wako sahihi kutoa ushauri was kuvunja Baraza la mawaziri
 
Maza tukishamaliza kuzika kimbiza wote unawaona gozigozi na kupanga safu yako.
Nani anakusanya pesa za mchango ili nimtumie ili maza wetu aweze kufanikisha hili?
Nalog off
 
Huyu Mwigulu hatufai kwenye huu utawala,bora apewe uenyekiti wa kamati za kudumu za bunge huko
 
TLS Act Section 4(c) inataja madhumuni (objects) za TLS ni:

... ....................to assist the Government and the Courts in all matters affecting legislation, and The administration and practice of the law in Tanzania..........


This means what it says, KUSAIDIA. Haisemi kuipa amri au kuiongoza au kuishauri Serkali, imesema KUSAIDIA. Yaani unasaidia tu pale wakati UMEOMBWA MSAADA. Na kwa vile hiyo no object, ni lazima ulipwe.


Secondly, this is a general clause, a WISH LIST, OBJECTS za taasisi binafsi, si ya Serkali. Kila Lawyer kwenye list ya majukumu yake ni lazima utakuta:

.....TO ASSIST THE GOVERNMENT, TO ASSIST CLIENTS, TO ASSIST....

Ukiangalia madhumuni ya Makandarasi, Wahasibu, Madakatri, Walimu, kila mmoja lazima ana sehemu inasema TO ASSIST CLIENTS, THE PUBLIC, THE GOVERNMENT ETC ETC, of course kwa kulipwa ujira husika, si bure.

Maana yake ni kwamba utasaidia tu ukiombwa msaada, na utalipwa.

Tenganisha na madhumuni ya Polisi: TO ARREST CRIMINALS, TO GUARD PUBLIC PROPERTY. Au ya TPDF au ya TAKUKURU, kazi yao ni WAJIBU wao,siyo kusaidia, si kuombwa, ni JUKUMU ("THE DUTIES SHALL BE:...

MWISHO, Rais ana madaraka ya kuvunja Baraza la Mawaziri, au chochote kila, kwa uamuziwake mwenyewe AT ANY TIME. Rais wa kurithi kama huyu atakaa kwa mujibu wa Ilani iliyopita, kwa hiyo mwanya wa kutenda tafauti
sana ni mdogo, lakini madaraka yako pale pale.

Hawezi akaamrishwa na TLS.

Tulichonacho hapa ni USHAURI WA BURE, hakuna Amri yeyote kwa vile TLS ni tassisi bonafsi haikuchaguliwaxna mtu yeyote. Nadhani TLS katika hili wanejichanganya. Lakini sishangai: hawa si ndiyo watu wa tundulissu na fatmakarume? Sijui kama kuna Mtanzania yeyote ana imani nao.
 
Ili mama afanye Kazi yake vizuri ni lazima avunje kivuli cha Magu na hii ndio changamoto yake kubwa kwa sasa vinginevyo hilo genge litataka kumfanya kwamba yeye hana akili na Urais ameupata kwa hisani sasa hapo Kazi kwake.

Huwezi endesha nchi kwa kufuata genge la mtangulizi,kila Rais ana utashi wake,ndio maana Magu alienda kinyume na JK nk nk

Katiba inampa Rais uamzi huo ,so kwa maoni yangu lazima atimue genge la Chato lote na aweke watu wake royal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…