Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwanza Mwigulu hajaipinga TLS ila ameomba tumsitiri marehemu kwanza halafu mengine ndio yaendeleeHuyu mtu ni tatizo kubwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza Mwigulu hajaipinga TLS ila ameomba tumsitiri marehemu kwanza halafu mengine ndio yaendeleeHuyu mtu ni tatizo kubwa!
Tatizo hata Biblia utakuwa hujui.
Sisi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.
So sisi ni Miungu kama hujui kwa Taarifa yako...!
Mwambie na yeye akienda kuapishiwa kichochoroni badala ya Ikulu. Sasa kwa vile ni mzee wa matamaa anataka kuendelea na upuuzi.Nchi haiendeshwi kwa taratibu za kimila. TLS wao wamehadharisha tu muwe makini msikurupuke.
Si mara moja uongozi uliopita umekuwa ukikiuka katiba au anataka iwe mazoea? Mliwahi kuteuwa wabunge wa kiume wengi zaidi ya wanawake. Wanaharakati na wapinzani waliwashitukia na kuteka katiba ifuatwe. Posi alitolewa ubunge na kupewa ubalozi ili kukuwa soo.
Wameteuliwa mawaziri wawili bila kuwapo kwa waziri mkuu kinyume cha katiba. Kwa kuwa hakuna aliyewashitua katiba ilikanyagwa.
Mara ngapi wabunge wasio na chama wamekuwa wakishiriki Bunge kinyume cha katiba? Au unafikiri tunafurahi?
Leo TLS imewahadharisha unang'aka. Tuache kudharauliana.
Utalia na kufa, baada ya saa 9 jioni ya leo. Uliekuwa huwataki mmoja wao ni makamu wa Rais.Mwigulu Nchemba ! Upo? [emoji56] Natamani sana utumbuliwe moja kwa moja awamu hii! Sasa sijui kama MAMA yetu atapata huo ujasiri!
Wengine ni PM, yule mwenzako wa afya, Kabudi, Bashungwa (huyu hata kupiga dana dana sijui kama anaweza! Halafu eti ni Waziri wa michezo!), Kibabu George Mkuchika, Doto James, Ole Sabaya, na wengineo wengi!! Nyinyi mlikubuhu kwa unafiki, kujikomba komba na pia kumpotosha Mzee enzi za uhai wake.
Kwani TLS wana semaje? Within 14days.. Sasa huyu ana kurupuka tuu na kuandika.Kwanza Mwigulu hajaipinga TLS ila ameomba tumsitiri marehemu kwanza halafu mengine ndio yaendelee
Mwigulu yuko sahihi ila kwa kuwajibu amelikuza hili jamboMwigulu yuko sahihi katika hili, tuache ubabaishaji
Anajiona yeye ndiye kila kitu hapa Tz. Kumbe sivyo, huyu madelu ana kaujuaji hivi!.Bush lawyer ... nashauri Mwigulu aache kwanza wanaojua sheria walumbane mwisho tutapata muafaka. Halafu hii hulka ya kutaka KUWANYAMAZISHA watu utaiacha lini kaka Mwigulu???
Kama hawakusema wakati ule, na sasa wanyamaze! Tuna vilaza kila aina. Wewe wa hovyo kabisa. TLS imejulikana sana katika awamu ya tano. Ikafikia hatua serkali ikataka kutia mkono TLS. Serkali ambayo haikufuata katiba wala sheria ilisemwa sana na TLS. Ulikuwa wapi? Tundu Lissu, Fatuma Karume na sasa Nshala wote ilikuwa miiba!Huyu mama Samia asipoiga udikteta wa jiwe kwa hizi siku mbili tatu watampasua kichwa kwa maushari na makelele kitoka kila kona, hawa TLS walikuwaga wapi kipindi kile Jiwe linaikanyaga Katiba na kufanya neno lake kuwa sheria.
Hapo kwa PM hapana aisee aendelee tu binafsi namuelewa sanaMwigulu Nchemba ! Upo? [emoji56] Natamani sana utumbuliwe moja kwa moja awamu hii! Sasa sijui kama MAMA yetu atapata huo ujasiri!
Wengine ni PM, yule mwenzako wa afya, Kabudi, Bashungwa (huyu hata kupiga dana dana sijui kama anaweza! Halafu eti ni Waziri wa michezo!), Kibabu George Mkuchika, Doto James, Ole Sabaya, na wengineo wengi!! Nyinyi mlikubuhu kwa unafiki, kujikomba komba na pia kumpotosha Mzee enzi za uhai wake.
Umeanza kuwa na akili tangu lini mkuu?Rais ni taasisi akifa na baraza la mawaziri linakufa automatically!
Hili hata Prof wa sheria Palamagamba analielewa vizuri.
Hujaelewaa...!mungu At Calvary tusaidie kumfufua mpendwa wetu!
Sent from my HTC U12 life using JamiiForums mobile app
TLS Act Section 4(c) inataja madhumuni (objects) za TLS ni:Nimesoma andiko la TLS, kwa heshima zote kwa chombo chetu hiki kilichopewa mamlaka kisheria, Nimeshtuka sana, I wish to say,
Kwanza KATIBA HAIJAVUNJWA KWA MHE RAIS SAMIA SULUHU kuapa, na wala hakuna Mkanganyiko wowote wa Kikatiba, kwa yeye kutoteua PM na Baraza jipya. Mmekaa wote kweli mkaona hivyo.
Kwa mujibu wa Katiba Ibara ya 42(5) kuna watu wa aina mbili wanaweza kuwa Rais. Moja, Rais Mteule ambaye anatokana na Ibara ya 42(1). Mbili, Mtu anayeshika kiti cha Rais ambaye anatokana na ibara ya 37(5) na 50(2)(d) ambaye ni Makamu wa Rais. Kwa Mazingira haya, Makamu wa Rais, baada ya kifo cha Rais, anakuwa Kaimu Rais baadae ndio ameapa na kuwa RAIS wa Nchi. Rais Mteule anapatikana kutokana na uchaguzi. Hivyo basi ibara ya 57(2)(f) ya Katiba haitumiki katika mazingira haya. Kwa mjibu wa Sheria, Mhe Rais alitakiwa kutoa taarifa hii kwenye Baraza la Mawaziri baada ya kuapa na alifanya hivyo, maana yake Baraza lipo.
Hata hivyo kwa tamaduni za Kiafrika, kitanzania na Misingi ya UTU, SIONI KAMA NI JAMBO JEMA SANA KUANZA KUJADILI MGAWANYO WA MADARAKA TUNGALI HATA HATUJAMZIKA ALIYEKUWA KIONGOZI WETU. HUU SIO MSIBA MDOGO, JAMBO HILI ZITO LIKO MIKONONI MWA RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU, HALAFU SISI TUANZE KUMPATIA MAMBO YA MARA TEUA PM, MARA VUNJA BARAZA, KATIBA INAELEKEZA RAIS KUAPA NA NAMNA YA KUMPATA MAKAMU WA RAIS.
KWA MJIBU WA KATIBA RAIS ANARUHUSIWA KUVUNJA BARAZA MUDA WOWOTE NA KUPANGA ATAKAVYO HATA SIO KWA MAZINGIRA KUAPA KWAKE,
KWANINI HATUIONI HEKIMA YAKE YA KUSHUGHULIKIA MSIBA KUMSITIRI KWANZA ALIYEKUWA KIONGOZI WETU? TUNAANZA NA MAZISHI AU MIRATHI? [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pia soma > TLS: Kwa Mujibu wa Katiba, sasa Tanzania haina baraza la Mawaziri, Rais Samia atakiwa kuteua Waziri Mkuu ndani ya siku 14