Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba awajibu TLS kuhusu Rais Samia Suluhu kuteua Baraza jipya la Mawaziri

Sasa Mwigulu mbona kama anahofu na nafasi yake? Magufuli ameshakufa ni lazima serikali mpya iendelee. Sijaona point yake hapa
 
Maderu hana nafasi tena ya kuendelea kuwepo kwenye uwaziri
 
Kama kuna watu wanatakiwa kutemwa kwenye Baraza la Mawaziri basi ni huyu Mwigulu Nchemba, jitu lenye roho mbaya kuwahi kutokea
 
Katiba inasema ndani ya saa 24 mpaka 48 Rais awe ameapishwa, na hili limefanyika kwa mujibu ya katiba. Tayari nchi ina Rais (amiri jeshi mkuu)

Ni upumbavu uliopitiliza kuanza kujadili teuzi zingine wakati Rais na nchi iko kwenye`maombolezo na mwili haujazikwa bado.

Subira huvuta heri
 
Mtu anajigonga jamani. Waziri Miami ati maana unalinda biashara za watu ati.
 
Nadhani kea Sasa issue ya msiba ndo ya msingi haya mengi ni baada ya kumzika kwanza Mzee wetu.Haraka ya nn pia wakati mwingine wanasheria wanakuwa wababaishaji na hujifanya wanajua sana.sheria ni nn tusubiri mengine yaishe kwanza.
 
Huyu mama Samia asipoiga udikteta wa jiwe kwa hizi siku mbili tatu watampasua kichwa kwa maushari na makelele kitoka kila kona,hawa TLS walikuwaga wapi kipindi kile Jiwe linaikanyaga Katiba na kufanya neno lake kuwa sheria
Leo hii ndio wamekuwa vimbele mbele kweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…