Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba awajibu TLS kuhusu Rais Samia Suluhu kuteua Baraza jipya la Mawaziri

Naunga mkono hoja ya Mhe. Mwigulu Nchemba
P
 
Huu weusi wa Pages za hii Site ya JF ni alama ya maombolezo?
 
DUA LA KUKU
 
Aliyetoa bandiko la TLS ni kilaza mmoja, kama TLS nzima basi wamedhalilisha Taaluma zao.
Wanashindwaje kutofautisha Rais mteule, na Rais kwa sababu za kiafya au kifo.

Kwahiyo huyo Rais kama kweli anaendelea na hilo baraza la awamu ya 5 kwanini yeye anaitwa Rais wa awamu ya 6. Hivi mtu mwenye akili unaweza kujiaminishabkuwa baraza la awamu 5 linaweza kuvushwa kwenye awamu ya 6 bila kufanyika uteuzi. Mbona watu tunapenda kupotosha ili kulinda matumbo badala ya kulinda katiba na sheria. TLS wamefanya kazi nzuri sana na kwa wakati. Sababu hawakujuwa kama AG angeshindwa kumshauri Rais kuhusu kuwa na baraza jipya. Kwanini AG hakumshauri makamo wa Rais kuitisha kikao cha baraza la mawaziri na kuwatangazia kifo cha Rais na hilo baraza likaishia hapo? Jibu AG ameshindwa kutekeleza wajibu wake.
 
TLS wametoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…