Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wajameni mmemwelewa kweli? JF hata vichaa wanaandika thread? Ni kwamba hajui majukumu ya waziri wa kilimo au ndiyo nyaya zimeshakatika?Kichwa Cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara Yako jaman!
Maharage huko mnauziwa bei ndogo kweliKichwa Cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara Yako jaman!
Vitu vimepanda hapa tu au na kwingine? Mkulima alielima mazao yake wakati wa mbolea ikiwa juu unataka serikali impangie bei ya kuuza huu si ni udikteta.Kichwa Cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara Yako jaman!
Ni vizuri kuwa mfatiliaji kabla hujaongea mfano kwenye chakula serikali sasa hivi ndio imeanza kugawa mbolea za ruzuku, pembejeo na mbegu ili kumpunguzia mkulima gharama za kilimo angalau baada ya kuvuna unaweza kumwambia mkulima nilikusaidia moja mbili sasa tuuze hivi ili kupata ahueni lakini sio kwa mazao waliozalishga kwa gharama kubwa auze kwa bei ya kutupa kama rahisi wote tungelimaNchi imefunguliwa ndio msemo wa kukwepa majukumu na uwajibikaji
Huku mbona bei ni rahisi hivyo aisee usilalamike ..Kichwa cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara yako, jaman!
Maharage kilo 2,000/- duka gani.!!?? Au mi ndo sijaelewa fasihi..!? Maana huku sisi tupo na 3,800/- kwa kilo moja ya maharageKichwa cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara yako, jaman!
Moja mbolea nyingi inaagizwa toka nje na nje bei ni kubwa, mbili ukame watu hawakuzalisha sana kwahiyo serikali haiwezi kumuumiza mkulima wewe ulie mjini upate raha kila mmoja lazima anufaike na kazi anayoifanyaKichwa cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara yako, jaman!
Kwaiyo njaa inauma sasa, tusubirie mavuno ya miezi ijayo?Ni vizuri kuwa mfatiliaji kabla hujaongea mfano kwenye chakula serikali sasa hivi ndio imeanza kugawa mbolea za ruzuku, pembejeo na mbegu ili kumpunguzia mkulima gharama za kilimo angalau baada ya kuvuna unaweza kumwambia mkulima nilikusaidia moja mbili sasa tuuze hivi ili kupata ahueni lakini sio kwa mazao waliozalishga kwa gharama kubwa auze kwa bei ya kutupa kama rahisi wote tungelima
Ngoja nije huko kimara.kumbe vyakula bei chini namna hiyoKichwa cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara yako, jaman!