Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Yaani huyu malalahoi 2000 analalamika.huku tabata kilo 3,800View attachment 2468956
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huyu malalahoi 2000 analalamika.huku tabata kilo 3,800View attachment 2468956
Nimeshangaa hii bei ya maharage,,, nkadhan kakosea. Mkoa niliopo mmMaharage huko mnauziwa bei ndogo kweli
Kweli kabisa. Nko mkoan nanunua maharage kilo 3500Mbona huko kwenu bei poa huku maharage yanaenda mpaka 3500... bado mnauziwa vzur nyie usilalamike..
Kumbe wewe ndio hujui mkuu...mrudi vijijini wanapo lima mnalalamika nini
RIP CHATO BOYKichwa cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara yako, jaman!
Naomba unielekeze nataka gunia la maharage hiyo bei hata kijijini siyo hivyo mkuuKichwa cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara yako, jaman!
Nakukumbusha tu kua mvua zimeanza kunyesha kamata shamba ukalime ili uje utuuzie kwa bei chee chini ya hizo bei unazopigia kelele.Kichwa cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara yako, jaman!
Wewe mavuno yako yapo wapi? Kulima alime mwingine kwa gharama kubwa wewe uje tu kulialia bei kubwa. Nenda kalime msimu wa kilimo umefika ingia shambani ukalime.Kwaiyo njaa inauma sasa, tusubirie mavuno ya miezi ijayo?
Hiyo pesa ya mbolea ya ruzuku imetoka wapi kama siyo mijini? Watu wa mjini ni wadau wa kilimo hivyo wasikomoleweMoja mbolea nyingi inaagizwa toka nje na nje bei ni kubwa, mbili ukame watu hawakuzalisha sana kwahiyo serikali haiwezi kumuumiza mkulima wewe ulie mjini upate raha kila mmoja lazima anufaike na kazi anayoifanya
Tupe chimbo mbona cheap sanaKichwa cha habari kipo wazi tunataka kujua vitu vinapanda bei chanzo ni Nini aise?
Mwendo kasi nao umepanda ingawa sio wizara yako, jaman!
Na me ndo nkashangaa aisehNimeshangaa hii bei ya maharage,,, nkadhan kakosea. Mkoa niliopo mm
Unga 2000
Mchele 3000
MAHARAGE 3400.