Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
ah kumbe aliyesema ni chalamila... basi sawaMh. Chalamila ametahadharisha kuwa Yuko Waziri anatafuta pesa nje ya nchi kwa ajili ya kugombea Urais 2025. Na Mkuu wa Mkoa Mmoja anajipanga pia. Ni akina Nani hawa? Itabidi ianzishwe Thread yake tuidadavue.