peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Hana cheti cha kuzaliwaMwezi uliopita alienda Buzwagi, akapiga mkwara, wasipompa ripoti ya jinsi gani watalifukia shimo ndani ya mwezi mmoja, atafungia export permit ya Migodi yao.
Sijajua ka keshapewa ripoti au la
Ila mbona Lafudhi yake si ya Tanzania?
Kabisa mkuuHalafu imekuwaje hata Confidence yake katika Kuongea aliyokuwa nayo wakati Mjomba wake wa Damu kabisa ( Hayati ) yupo alikuwa nayo ila kwa sasa imepotea, ana Adabu na hata zile Dharau zake za Asili sasa amezipumzisha?
Namshukuru sana Israeli kwa Kutenda.
Kwani we jamaa huwa unapiga magoti kwenye mkeka au kwenye mbao?Nimekuelewa!
Ila ndugu, mm nakushauri tu shika hamsini zako hao watu unao waita wanafiki wana mkate wao tayari wa leo na kesho kwa kizazi chao kijacho..mle mjengoni hakuna anae mjaali mnyonge" Sekta ya Madini nchini haitakiwi iwe au iwekewe Sheria Kali kwa Wadau wake kwani itawakimbiza na hatutopata Faida yoyote kama Serikali na itatuchelewesha kama nchi. Tuongozwe na Busara pamoja na Hekima na siyo Ukali wa Kupitiliza "
Nimemsikia akizungumza haya Leo Asubuhi katika Kipindi cha Nipashe cha Radio One baada ya Waziri huyu Kukutana na Kamati ya Bunge inayohusika na Madini.
JamiiForums ikiwapendeza mje na Jukwaa litakaloitwa WATAMBUE WANASIASA NA VIONGOZI WANAFIKI TANZANIA kwani kiukweli sasa tumechoka na Wengine tumeshaanza hata Kukereka.
Alianza Spika wa Bunge Ndugai kuhusu Bandari ya Bagamoyo ambaye kabla ya tarehe 17 Machi, 2021 alikuwa hataki ijengwe ila baada ya tarehe hii husika leo anasema ijengwe.
Ni huyu huyu Waziri wa Madini Biteko alikuwa akiufurahia huu huu Ukali na Ubabe dhidi ya Wadau wa Madini, ila baada ya tarehe 17 Machi, 2021 leo nae kabadilika na Kujifanya ni Muungwana na anaungana na Sisi Watanzania tunaojitambua ( wenye Akili ) tuliokuwa hatuupendi Utendaji wa Mpwa wake ( sasa Marehemu kama si Hayati ) pia.
Hakuna Kitu nakichukia tu kama Unafiki.
Mama amtimue haraka
Walikuwa wanalinda ugari wao,kitaa pa ovyo sana,ukiona mtu aliyewahi kuwa Mbunge,waziri,RC anaamua kuwa pastor,ujue kitaa hapafai na hapana adabuLINAFIKI LIKUBWA. TOKEA AFE MAGU TUMEYAJUA MANAFIKI MENGI SANA
Eh kumbe ni mpwa ?Doto Biteko tulisema hawezi hiyo wizara, apewe Naibu wake prof. Manya aliyesoma madini. Hiki kijamaa ni mwalimu kapewa wizara ya madini,kisa ni mpwa wa mwendazake
Eeh nae ni mpwa wa dead stone. Naona wapwa zake wenye majina ya Dotto aliwapendelea sana.Eh kumbe ni mpwa ?
Ila yu hai, hivyo alizaliwa.BIi
Hana cheti cha kuzaliwa
Eh ngoja mm niomdokeEeh nae ni mpwa wa dead stone. Naona wapwa zake wenye majina ya Dotto aliwapendelea sana.
Hata yule aliyekuwa mnikulu nae ni mpwa wake, jamaa aliigeuza nchi kama ukoo wake.
SGR yenyewe nayo unafiki mtupu..!!Unafiki wa kiwango cha SGR.
SGR yenyewe nayo unafiki mtupu..!!
Unafiki upo hapa kwetuSGR ziko dunia nzima labda yenye unafiki ni hii ya kwetu mjomba.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Halafu imekuwaje hata Confidence yake katika Kuongea aliyokuwa nayo wakati Mjomba wake wa Damu kabisa ( Hayati ) yupo alikuwa nayo ila kwa sasa imepotea, ana Adabu na hata zile Dharau zake za Asili sasa amezipumzisha?
Namshukuru sana Israeli kwa Kutenda.
100%Eh kumbe ni mpwa ?
Dotto Biteko acha huu Unafiki wako.Mbona hamna hoja ya msingi zaidi ya kulalamika kizandiki au kawachomolea betri nini, acheni unafiki semeni mapungufu yake, nyie wote ndio walewale achaneni kabisa na Hayati Magufuli wetu na timu yetu.
Watu wa mitandaoni wameitwa wazandiki wakubwa mkuu [emoji23] [emoji23]Sijui Rais anataka tumsaidie vipi labda.
Kwani ni lazima awe waziri??Wizara ya madini, iwe makini na doto Biteko pamoja kaimu mtendaji mkuu wa tume ya madini ,Eng. Yahya. Ni watu Hayati sana. Baada ya kifo cha mwendazake inatakiwa waondolewe soon . Doto Biteko apelekwe wizara ya elimu Naibu waziri.na waziri wa elimu atumbuliwe pia.