Hilo la siyo Raia nakubaliana nawe 100%Nimemfahamu BITEKO kupitia hii wizara.... Niseme wazi ukikaa na huyu jamaa ni zaidi ya ukimskiliza majukwaani.....
Biteko anajua anachokifanya kwenye hiyo sekta na alichokiongea hapo alishawahi kikisema kwenye kikao cha ndani kabisaaa 2018.
Tatizo tu SIO MTANZANIA.
Huyo doto Ni mnafki tu na mpumbavu flani hivi
Huo ukali waliokuwa nao yeye na marehemu walikuwa wanamaanisha nini
Kumamamamake
Atakuwa waziri wa kwanza kutumbuliwaHalafu imekuwaje hata Confidence yake katika Kuongea aliyokuwa nayo wakati Mjomba wake wa Damu kabisa ( Hayati ) yupo alikuwa nayo ila kwa sasa imepotea, ana Adabu na hata zile Dharau zake za Asili sasa amezipumzisha?
Namshukuru sana Israeli kwa Kutenda.
Hahahahaaaa. Nimekuelewa sana mkuuWalikuwa wanalinda ugari wao,kitaa pa ovyo sana,ukiona mtu aliyewahi kuwa Mbunge,waziri,RC anaamua kuwa pastor,ujue kitaa hapafai na hapana adabu
Hili la Kufirana una uhakika nalo 100%?Geti la mirerani watu wanadhalilishwa, wanavuliwa nguo wanafirama. Mambo gani hayo waziri. Ungekuwa wewe ungependa?
Ni ya wapi!? Na lafudhi ya Tanzania ni ipi?Ila mbona Lafudhi yake si ya Tanzania?
Lafudhi yake ni ya 'Made in Burundi' tu.Ni ya wapi!? Na lafudhi ya Tanzania ni ipi?
Sijasema kufirana.. nimesema kufirama ( kuinama na kukaguliwa). Nina uhakika.. maana unavua nguo.Hili la Kufirana una uhakika nalo 100%?
Mkuu, kama huyo wa kwanza ni speaker🎧 kwa maana ya spika kabisaaaaa, radio 🎤yenyewe iko somewhere, huyo wa pili naye tumbo mkuu🫖Alianza Spika wa Bunge Ndugai kuhusu Bandari ya Bagamoyo ambaye kabla ya tarehe 17 Machi, 2021 alikuwa hataki ijengwe ila baada ya tarehe hii husika leo anasema ijengwe.
Ni huyu huyu Waziri wa Madini Biteko alikuwa akiufurahia huu huu Ukali na Ubabe dhidi ya Wadau wa Madini, ila baada ya tarehe 17 Machi, 2021 leo nae kabadilika na Kujifanya ni Muungwana na anaungana na Sisi Watanzania tunaojitambua ( wenye Akili ) tuliokuwa hatuupendi Utendaji wa Mpwa wake ( sasa Marehemu kama si Hayati ) pia.
Hakuna Kitu nakichukia tu kama Unafiki.
Sasa Vp ana mamlaka gani ya kumponga wa juu yake?Mama mwenyewe mnafiki leo anabadili gia angani utasema hakuwa VP wa mwendazake
Kwa jinsi vinavyonuka, sidhani kama yupo atakayekubali kuvivaa viatu hivyo hata vikioshwaa namna gani.Mnamlaumu jamaa lakini jaribuni kuvaa viatu vyake!
Kama VP alikuwa anawajibu wa kumshauri Mh Rais na kama kweli alikuwa hasikilizwi ange resignSasa Vp ana mamlaka gani ya kumponga wa juu yake?
Wakati wewe unasema aresign, kila mtu ana ndoto zake kwenye maisha, kwa mfano angeresign je hiyo nafasi aliyonayo leo angeipata?!Kama VP alikuwa anawajibu wa kumshauri Mh Rais na kama kweli alikuwa hasikilizwi ange resign
Wewe sasa unamsema dotto JHalafu imekuwaje hata Confidence yake katika Kuongea aliyokuwa nayo wakati Mjomba wake wa Damu kabisa ( Hayati ) yupo alikuwa nayo ila kwa sasa imepotea, ana Adabu na hata zile Dharau zake za Asili sasa amezipumzisha?
Namshukuru sana Israeli kwa Kutenda.
Duh mzee baba ramadhani hii ujueHuyo doto Ni mnafki tu na mpumbavu flani hivi
Huo ukali waliokuwa nao yeye na marehemu walikuwa wanamaanisha nini
Kumamamamake