albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
Nimemfahamu BITEKO kupitia hii wizara.... Niseme wazi ukikaa na huyu jamaa ni zaidi ya ukimskiliza majukwaani.....
Biteko anajua anachokifanya kwenye hiyo sekta na alichokiongea hapo alishawahi kikisema kwenye kikao cha ndani kabisaaa 2018.
Tatizo tu SIO MTANZANIA.
Biteko anajua anachokifanya kwenye hiyo sekta na alichokiongea hapo alishawahi kikisema kwenye kikao cha ndani kabisaaa 2018.
Tatizo tu SIO MTANZANIA.