Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wazo la kutengeneza mashine ya kusonga ugali limepata justification. Naomba muniunge mkono.
Za kusonga unga wa ngano zinaouwezo wa kusonga ugali piaWazo la kutengeneza mashine ya kusonga ugali limepata justification. Naomba muniunge mkono.
Afanye na mpango alale nao kama wanavyolala aone
Hatua inayofuata ni kufua vyupi vya wafungwa
Halafu mrarajie maendeleo chini ya CCM!!
Anyway, labda hii ndio legacy kwa wizara hiyo na Taifa kwa ujumla.
Kama hazitumiki huku kwetu Tanzania, bado hilo ni gepu la kuzibwa. Hata hivyo, kama inawezekana tutengenezee clip ya hiyo mashine ya kusonga unga wa ngano ikitumika kusonga ugali wa unga wa mahindi nakisha unga wa muhogo.Za kusonga unga wa ngano zinaouwezo wa kusonga ugali pia
Check madukani ya vyombo vya jikoni zipoKama hazitumiki huku kwetu Tanzania, bado hilo ni gepu la kuzibwa. Hata hivyo, kama inawezekana tutengenezee clip ya hiyo mashine ya kusonga unga wa ngani ikitumika kusonga ugali wa unga wa mahindi nakisha unga wa muhogo.
Mkuu mimi nilidhani umeisha ijaribu kuitumia kusonga ugali wa mahindi ama muhogo, yaani unauzoefu na matumizi ya mashine hiyo. Kama bado hujaitumia basi wazo langu bado lina thamani, hivyo wanajukwaa waniunge mkono.Check madukani ya vyombo vya jikoni zipo