Katiba ya nchi iliyopo pamoja na Sheria za nchi zilizopo zina-promote uimla (dictatorship).
Kazi Kuu kabisa ya Jeshi la Polisi ni Kusimamia Sheria pamoja na kulinda Katiba ya nchi.
Je, Jeshi la Polisi linatarajia kulinda demokrasia gani wakati Katiba na Sheria zilizopo hazitambui uwepo wa hicho kitu kinachoitwa demokrasia?? Je, ni demokrasia gani basi ambayo Jeshi la Polisi linaahidi kwamba watailinda??