Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Waziri wa Mambo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Waziri wa Mambo

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, katika mazungumzo hayo yaliyojikita katika masuala mbalimbali ya maboresho katika Tasnia ya Diplomasia.

Mazungumzo hayo yamefanyika leo tarehe 23 Disemba, 2024 katika Ofisi ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam.

mini_magick20241223-9756-24jpv5.jpg
mini_magick20241223-9756-abjd4z.jpg
mini_magick20241223-9756-nhu02k.jpg
mini_magick20241223-9756-37mx0a.jpg
 
Huwa nawashangaa wanaouliza kwanini teuzi nyingi ni Watu walewale, au kwanini Bashungwa anashikilia rekodi ya kuhamishwa Wizara nyingi.....jibu:
System ina Watu wake walioandaliwa, kwa kuchujwa vyema.
 
Back
Top Bottom