Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania kazini, asema Tanzania na Mozambique wameshirikiana kuleta amani Gabo Delgado

Waziri wa Mambo ya Nje Tanzania kazini, asema Tanzania na Mozambique wameshirikiana kuleta amani Gabo Delgado

Huyu ndo waziri wetu wa mambo ya nchi za nje hivi sasa, Mh. Mahmoud Thabit Kombo akiwa kikazi huko Afrika Kusini alipofanya mahojiano na runinga ya SABC.

Toa tathmini yako. Kafanya vizuri au kaharibu?


View: https://youtu.be/lASRWIFZPxQ?si=giRIhODG4NyjiDEN

Jamaa yupo vizuri. He seems to know what he’s talking about.
Only next time asiseme we have “Swahili” as our national language. Rather we use “kiswahili” as our national language.

Ila pia alipenyeza ka statement ka uchawa design😂😂
Eti Dr. Samia Suluhu Hassan. Hivi kwa nini hawa watu wanapenda validation? Presidency ni taasisi inajitosheleza! Kibaya kwa huyu mama PhD ni ya kupewa bure. Huwezi tumia neno Dr. kwa PhD ya kupewa. Au anataka aonekane msomi?

It is my first time kumsikia akiongea huyu bwana. Good luck to him.
 
Jamaa yupo vizuri. He seems to know what he’s talking about.
Only next time asiseme we have “Swahili” as our national language. Rather we use “kiswahili” as our national language.

Ila pia alipenyeza ka statement ka uchawa design😂😂
Eti Dr. Samia Suluhu Hassan. Hivi kwa nini hawa watu wanapenda validation? Presidency ni taasisi inajitosheleza! Kibaya kwa huyu mama PhD ni ya kupewa bure. Huwezi tumia neno Dr. kwa PhD ya kupewa. Au anataka aonekane msomi?

It is my first time kumsikia akiongea huyu bwana. Good luck to him.
Sijaangalia interview.

Ila kwenye lugha ni sahihi kusema swahili na siyo kiswahili.

Kiswahili siyo kiingereza ni neno la kibantu. Tukihalalisha hoja yako itabidi pia tuanze kusema Waswahili na siyo Swahili people
 
Jamaa yupo vizuri. He seems to know what he’s talking about.
Only next time asiseme we have “Swahili” as our national language. Rather we use “kiswahili” as our national language.

Ila pia alipenyeza ka statement ka uchawa design😂😂
Eti Dr. Samia Suluhu Hassan. Hivi kwa nini hawa watu wanapenda validation? Presidency ni taasisi inajitosheleza! Kibaya kwa huyu mama PhD ni ya kupewa bure. Huwezi tumia neno Dr. kwa PhD ya kupewa. Au anataka aonekane msomi?

It is my first time kumsikia akiongea huyu bwana. Good luck to him.
1. Siyo kwamba ‘we use Kiswahili as a lingua franca’? Au hayo ni ma vocabulary magumu? 😀

2. Hakuna kabisa haja ya kumwita Rais Samia “dokta”. Ni ushamba na uchawa.

Hadhi ya Samia haipandi kwa kuitwa dokta, achilia mbali udokta wenyewe ni wa kupewa tu.

3. Huyu ni bora mara 100 kuliko yule Mulamula au yule Stegomena Tax. Hawa wawili sijui Samia hata alikuwa anafikiria nini alipowateua kuiongoza hiyo wizara.
 
Sijaangalia interview.

Ila kwenye lugha ni sahihi kusema swahili na siyo kiswahili.

Kiswahili siyo kiingereza ni neno la kibantu. Tukihalalisha hoja yako itabidi pia tuanze kusema Waswahili na siyo Swahili people
We need our own identity. Hathitaji kugha yetu kuiweka kwenye muktadha wa kizungu tuonekane tunaendana na wao.

Siku hizi hata taasisi kubwa globally, kwa Tanzania zinatambua kiswahili language siyo swahili language. Anyway in all, Waziri yupo vizuri.
 
1. Siyo kwamba ‘we use Kiswahili as a lingua franca’? Au hayo ni ma vocabulary magumu? 😀

2. Hakuna kabisa haja ya kumwita Rais Samia “dokta”. Ni ushamba na uchawa.

Hadhi ya Samia haipandi kwa kuitwa dokta, achilia mbali udokta wenyewe ni wa kupewa tu.

3. Huyu ni bora mara 100 kuliko yule Mulamula au yule Stegomena Tax. Hawa wawili sijui Samia hata alikuwa anafikiria nini alipowateua kuiongoza hiyo wizara.
Exactly. Imagine eti Dr. Obama 😅😅😅😅😅😅😅
 
Sijaangalia interview.

Ila kwenye lugha ni sahihi kusema swahili na siyo kiswahili.

Kiswahili siyo kiingereza ni neno la kibantu. Tukihalalisha hoja yako itabidi pia tuanze kusema Waswahili na siyo Swahili people
Ninakubaliana nawe kuhusu lugha.
Nami ni mara ya kwanza kumwona na kumsikia huyu bwana akizungumza. Siyo mbaya, ila ukimtazama vizuri lugha ya mwili wake na ile zungumza ya harakaharaka; hizo ni ishara za kukosa uzoefu au kidogo kuwa 'pompous'.

Matumaini yangu makubwa ni kwamba yeye ni mTanzania kwanza kabla ya kuwa mZanzibari. Akina Thabiti Kombo ndio walikuwa mstari wa mbele katika kuunda muungano, ambao sasa umebaki kuwa kivuli tu cha kujinufaisha upande mmoja.
 
We need our own identity. Hathitaji kugha yetu kuiweka kwenye muktadha wa kizungu tuonekane tunaendana na wao.

Siku hizi hata taasisi kubwa globally, kwa Tanzania zinatambua kiswahili language siyo swahili language. Anyway in all, Waziri yupo vizuri.

Article 11 of the Protocol on Amendments to the Constitutive Act of the African Union states the The official languages of the Union and all its institutions shall be Arabic, English, French, Portuguese, Spanish, Kiswahili and any other African language.
 
Unajua bwana Ngabu huko marikani sijui MB huwa mnapewa bure kila kaya.

Ila huku bongo mnakokuita kwenye barabara za vumbi Tigo na Voda wanatukatili kweli.

Tusimulie kwa ufupi maana tunakuamini.

Huyo waziri wetu wa mambo ya kigeni kasema nini huko kwenye nchi ya madiba yule Rafiki yake Nyerere??

Asante.
 
Jamaa yupo vizuri. He seems to know what he’s talking about.
Only next time asiseme we have “Swahili” as our national language. Rather we use “kiswahili” as our national language.

Ila pia alipenyeza ka statement ka uchawa design😂😂
Eti Dr. Samia Suluhu Hassan. Hivi kwa nini hawa watu wanapenda validation? Presidency ni taasisi inajitosheleza! Kibaya kwa huyu mama PhD ni ya kupewa bure. Huwezi tumia neno Dr. kwa PhD ya kupewa. Au anataka aonekane msomi?

It is my first time kumsikia akiongea huyu bwana. Good luck to him.
Ukiwa unaongea kiingereza, Kiswahili kinaitwa Swahili, Ki ni prefix inayotumika ukiwa unaongea Kiswahili kuitaja lugha yoyote, kwa hivyo kuna Kiingereza, Kireno, Kiarabu, Kisukuma. Hizi ligha kwa Kiingerwza ni English, Portuguese, Arabic, Sukuma. Ukiwa unaongea Kiingereza husemi KiEnglish, KiPortuguese, KiArabic, KiSukuma. Ki inasemwa wakati unaongea Kiswahili. Haisemwi wakati unaingea Kiingereza, kwa sababu ni prefix ya Kiswahili.

Sasa, ukitaka kukiita Kiswahili "Kiswahili" wakati unaongea Kiingereza, na Kiingereza utakiitaje? KiEnglish?

Kumtaja Samia kama alivyomtaja hapo si uchawa. Hiyo ni diplomasia, kuonesha collective responsibility na unity of message.

Mimi nilifundishwa kuandika memo za corporate world, nimefundishwa kwamba ukitaja kulipa ujumbe jambo, unaliunganisha na maneno ya mkubwa fulani kama CEO wenu, ili kuonesha kuwa yale maneno unayoyasema si yako wewe mwenyewe, ni muelekeo wa kampuni. Kwa hiyo Mahmoud hapo alikuwa anaonesha kuwa haya si maneno yake tu, ni maneno ambayo yana backing ya rais wa nchi.
 
Article 11 of the Protocol on Amendments to the Constitutive Act of the African Union states the The official languages of the Union and all its institutions shall be Arabic, English, French, Portuguese, Spanish, Kiswahili and any other African language.
Watanzania wanakosea jina la nchi yao wenyewe mpaka kwenye katiba.

Ukiwauliza kwa Kiingereza mnatumia lugha gani, watakutajia lugha yao kwa lugha yao badala ya kuitaja kwa Kiingerwza mnachozungumza.

Na watu wasiojua tofauti watasema "Kiswahili" katika Kiingereza.

Ukianza kuitaja lugha kwa Ki unaitaja kwa Kiswahili.

Kwenye Kiingereza hakuna prefix ya Ki kutaja lugha.

We speak Swahili, tunaongea Kiswahili.
 
Kwa kifupi dingi le thabiti kombo ni mtamu kwenye matamshi yake..........yuko vizuri.........sasa hapo kwenye hii interview angepewa yule prof wa wizara ya elimu ... ndio ungejua kwanini ukiwa konda deiwaka kufua sare za kazi sio lazima
 
Unajua bwana Ngabu huko marikani sijui MB huwa mnapewa bure kila kaya.

Ila huku bongo mnakokuita kwenye barabara za vumbi Tigo na Voda wanatukatili kweli.

Tusimulie kwa ufupi maana tunakuamini.

Huyo waziri wetu wa mambo ya kigeni kasema nini huko kwenye nchi ya madiba yule Rafiki yake Nyerere??

Asante.
🤣

Mimi sijui hata MB ni kitu gani.

Ninachojua plan yangu ya T-Mobile niliyonayo ni unlimited - data, text, minutes, na kila aina ya mazagazaga plus an automatic Amazon Prime membership 😉.

Nalipia kila mwezi. Nipo enrolled kwenye AutoPay.

Masaa 24, siku 365 huduma huwa ninayo popote pale duniani.

Kwa bongo nadhani T-Mobile huwa wanashirikiana na Vodacom maana nikiwapo huko mitambo ya Voda ndo huwa naiona ikirusha mawasiliano yangu.
 
🤣

Mimi sijui hata MB ni kitu gani.

Ninachojua plan yangu ya T-Mobile niliyonayo ni unlimited - data, text, minutes, na kila aina ya mazagazaga plus an automatic Amazon Prime membership 😉.

Nalipia kila mwezi. Nipo enrolled kwenye AutoPay.

Masaa 24, siku 365 huduma huwa ninayo popote pale duniani.

Kwa bongo nadhani T-Mobile huwa wanashirikiana na Vodacom maana nikiwapo huko mitambo ya Voda ndo huwa naiona ikirusha mawasiliano yangu.
Sawa mkuu,

Sisi kama ndugu zako tuliokutuma huko ughaibuni utuwakilishe tunafurahi unavyotusimulia mambo mazuri mazuri ya huko ughaibuni.

Asante.
 
Back
Top Bottom