Pio Gama Pinto
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 285
- 251
Obama ana PhD 14 lakini hatumii hiyo digrii ya zawadiJamaa yupo vizuri. He seems to know what he’s talking about.
Only next time asiseme we have “Swahili” as our national language. Rather we use “kiswahili” as our national language.
Ila pia alipenyeza ka statement ka uchawa design😂😂
Eti Dr. Samia Suluhu Hassan. Hivi kwa nini hawa watu wanapenda validation? Presidency ni taasisi inajitosheleza! Kibaya kwa huyu mama PhD ni ya kupewa bure. Huwezi tumia neno Dr. kwa PhD ya kupewa. Au anataka aonekane msomi?
It is my first time kumsikia akiongea huyu bwana. Good luck to him.
hali kadhalika watu wengi sana duniani hawatumii
Ni ulimbukeni tu