Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tetetete kazi snUshasema waziri wa mambo ya nje mwanadiplomasia atakuwa na uchungu na watanzania ambao anaona ni mambulula hawana maendeleo wakati wazungu ndio wamempa elimu na kula...lazima awape mapande waje kula kwenye shamba la bibi wamuone yeye mwamba...kawiva kisomo