Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tetetete kazi snUshasema waziri wa mambo ya nje mwanadiplomasia atakuwa na uchungu na watanzania ambao anaona ni mambulula hawana maendeleo wakati wazungu ndio wamempa elimu na kula...lazima awape mapande waje kula kwenye shamba la bibi wamuone yeye mwamba...kawiva kisomo
Bora ila wawekezeji wentewe wakina Symbion na IPTLManeno 100% Action 0.1%
Hakuwa Waziri sasa au angeulizwa akiwa kama nani?Hii Nchi !!!! Kila mtu Msanii...
Nina uhakika angeulizwa wakati ule hali ipoje angesema hatujawahi kuwa na hali nzuri kama hii (huku akiongelea ongelea uchumi wa kati usio wa kati)
Magu alichaguliwa na NEC.Kweli wanawake kwa mipasho!
Kama waziri huyo aliyosema ni kweli ilikueje tukaingia uchumi wa Kati kabla ya muda?
Mama fukuza huyu waziri maana watanzania tulimchagua Magu si yeye aliyeteuliwa tu halafu analeta shobo
Umenikumbusha somo la Chemistry; kwangu nilikuwa napiga msuli lakini matokeo sivuki 37.Maneno 100% Action 0.1%
sio shamba la bibi bali fursa.Ukiona mfanyabiashaŕa anakimbilia mahali ujue keshaona shamba la bibi mahali!! Wanadai shamba letu la bibi limerudi!! Uliza kiasi cha kodi inayokusanywa kwa mwezi!!
Kwani huyu humjui best? Hawa ni akina Tibaijuka type-hopeless kabisaHuyu waziri wa mambo ya nje ni mshamba sana, hajiulizi hizo hela za kuweza kuendesha nchi kwa miezi 6 bila makusanyo zimetoka wapi? Tanzania ilifikaje uchumi wa kati?
Mentality ya huyu waziri ni ili Tanzania iendelee lazima tujipendekeze kwa mataifa mengine.
Swali zuri sana. Ongeza lini walitoroka na kwa nini kipindi hichoWalienda wapi? Nani aliwafukuza?
Huyu mama hamna kitu. Huyu alikuwa katibu mkuu wizara ya mambo ya nje kipindi cha msoga ni watu waliozoea ubababishaji na kubwabwaja.Kwani huyu humjui best? Hawa ni akina Tibaijuka type-hopeless kabisa
Au wanamaanisha "wawekezaji Wachina wa Kariakoo"? Ahahahahahhj!!!Mapambio.co.tz