Waziri wa Masauni, waziri wa mambo ya ndani na IGP tunaomba mjiuzulu ili kulinda heshima zenu

Waziri wa Masauni, waziri wa mambo ya ndani na IGP tunaomba mjiuzulu ili kulinda heshima zenu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Kwa jambo la kutekwa na kuuawa Mzee Kibao, naomba mjiuzulu ili kulinda heshima yenu katika jamii na kama sehemu ya uungwana.
Yaani Raia wa Tanzania anatekwa na watu wanaojitambulisha kama police, tena mchana wa jua kali mbele ya abiria zaidi ya 60 anauliwa
Kazi yako ni kulinda Raia na mali zao, Sasa kama Raia wanauliwa kama nzi ndani ya nchi Yao, hapo nyie kazi yenu ni ipi na mishahara ya Kodi zetu mnakula za Nini? Kama hamtimizi majukumu yenu
Tanzania ni yetu sote,
Wote tunaipenda nchi yetu
Hao watu wamepata wapi bunduki na Risasi
 
Kwa jambo la kutekwa na kuuawa Mzee Kibao, naomba mjiuzulu ili kulinda heshima yenu katika jamii na kama sehemu ya uungwana.
Yaani Raia wa Tanzania anatekwa na watu wanaojitambulisha kama police, tena mchana wa jua kali mbele ya abiria zaidi ya 60 anauliwa
Kazi yako ni kulinda Raia na mali zao, Sasa kama Raia wanauliwa kama nzi ndani ya nchi Yao, hapo nyie kazi yenu ni ipi na mishahara ya Kodi zetu mnakula za Nini? Kama hamtimizi majukumu yenu
Tanzania ni yetu sote,
Wote tunaipenda nchi yetu
Hao watu wamepata wapi bunduki na Risasi
HAYA YANA SANCTION YA MAMLAKA KUU YA NCHI HII YA kIFALME. HAO WAACHENI WANA MAAGIZO YA mFALME
 
Kwa jambo la kutekwa na kuuawa Mzee Kibao, naomba mjiuzulu ili kulinda heshima yenu katika jamii na kama sehemu ya uungwana.
Yaani Raia wa Tanzania anatekwa na watu wanaojitambulisha kama police, tena mchana wa jua kali mbele ya abiria zaidi ya 60 anauliwa
Kazi yako ni kulinda Raia na mali zao, Sasa kama Raia wanauliwa kama nzi ndani ya nchi Yao, hapo nyie kazi yenu ni ipi na mishahara ya Kodi zetu mnakula za Nini? Kama hamtimizi majukumu yenu
Tanzania ni yetu sote,
Wote tunaipenda nchi yetu
Hao watu wamepata wapi bunduki na Risasi
Kangi Kugola alipojiuzulu je?
 
Kwa jambo la kutekwa na kuuawa Mzee Kibao, naomba mjiuzulu ili kulinda heshima yenu katika jamii na kama sehemu ya uungwana.
Yaani Raia wa Tanzania anatekwa na watu wanaojitambulisha kama police, tena mchana wa jua kali mbele ya abiria zaidi ya 60 anauliwa
Kazi yako ni kulinda Raia na mali zao, Sasa kama Raia wanauliwa kama nzi ndani ya nchi Yao, hapo nyie kazi yenu ni ipi na mishahara ya Kodi zetu mnakula za Nini? Kama hamtimizi majukumu yenu
Tanzania ni yetu sote,
Wote tunaipenda nchi yetu
Hao watu wamepata wapi bunduki na Risasi
ni muhimu zaidi kua wastahimilivu na wenye subra wakati mamlaka husika zikishukhulika na mambo haya 🐒
 
Kwa jambo la kutekwa na kuuawa Mzee Kibao, naomba mjiuzulu ili kulinda heshima yenu katika jamii na kama sehemu ya uungwana.
Yaani Raia wa Tanzania anatekwa na watu wanaojitambulisha kama police, tena mchana wa jua kali mbele ya abiria zaidi ya 60 anauliwa
Kazi yako ni kulinda Raia na mali zao, Sasa kama Raia wanauliwa kama nzi ndani ya nchi Yao, hapo nyie kazi yenu ni ipi na mishahara ya Kodi zetu mnakula za Nini? Kama hamtimizi majukumu yenu
Tanzania ni yetu sote,
Wote tunaipenda nchi yetu
Hao watu wamepata wapi bunduki na Risasi
Ni sawa ila Masauni ana uwezo wa kuzuia kama ni majambazi waliomteka?
Wengi huenda wakadai serikali inahusika lakini ni kitu ambacho hakina ushahidi
 
Very scaring. Mtu anashushwa mchana kweupe halafu anaokotwa amekufa.

Nani aliyeyafanya hayo? Na kwa sababu zipi?
 
Unashangaza sana mkuu.

Unafikiria nini lakini??

Yanga Bingwa tena.
 
Kwa jambo la kutekwa na kuuawa Mzee Kibao, naomba mjiuzulu ili kulinda heshima yenu katika jamii na kama sehemu ya uungwana.
Yaani Raia wa Tanzania anatekwa na watu wanaojitambulisha kama police, tena mchana wa jua kali mbele ya abiria zaidi ya 60 anauliwa
Kazi yako ni kulinda Raia na mali zao, Sasa kama Raia wanauliwa kama nzi ndani ya nchi Yao, hapo nyie kazi yenu ni ipi na mishahara ya Kodi zetu mnakula za Nini? Kama hamtimizi majukumu yenu
Tanzania ni yetu sote,
Wote tunaipenda nchi yetu
Hao watu wamepata wapi bunduki na Risasi
Me ninachojua ile press ya mbowe kusema wanawatu wanawapa taarifa watu wao wakitekwa wanapelekwa wap ma majina anayo atawataja wanaowateka na ukizingatia mzee kibao alikuwa JWTZ tena nasikia kitengo cha MI apo alikuwa tayar kauza ramani ya vita
 
Saa mia moja (saa 100) kazi yake ni kuteua tu. Hata hajali huwa wanafanya nini?
Ila wakitamka nzi wa kijani wanaiba kura wanatumbuliwa.
Yule maza mi sijawahi kumuelewa.
 
Back
Top Bottom