Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki wa Rwanda awekewa vikwazo na Marekani. Mungu wabariki wazungu, Mungu mbariki Trump!

Baba wa familia akiwa na migororo ndani ya familia yake, vikiitishwa vikao vya ndugu kuja kusuruhisha, halafu vikao vyote huyo baba akila kona inaelewekaje?

Mwisho wa siku ndugu wote watakuachia upambane mwenyewe na majanga yako.

Btw maazimio vikao vyote Africa imekuwa Ceasefire, hata huko kwa wazungu hajapata jipya, wamesema suruhu ni Ceasefire.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…