Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Ailimradi hakidhuru mtu
Wanasimba roho imewaumaaaKufatia kauli ya Waziri wa Michezo Mh. Ndumbaro kuwa watawashughulikia wale wote watakaokwenda kuwapokea na kuwashangilia timu pinzani nje na Tanzania ni uamuzi wa kupigwa vita kwani unaenda kuua soka na hata uchumi wa timu zetu.
Imagine mashabiki wananunua jezi za timu pinzani na hata kuingia uwanjani sababu ya huo upinzani je, hakuna faida ya kiuchumi inayopatikana?
Tanzania ni kivyetu vyetu ushindani wetu ndiyo soka letu na kukua kiuchumi hivyo hawa jamaa wanatakiwa kulaaniwa kauli zao kabla ya kuwa terrible.
Alitaka tu naye atrend si unajua wanasiasa wetu wanapenda kushindana na kina Mwijaku kutrend. Wakiona msanii anatrend wanaona kama wamefunikwa, wanaliamsha. Sasa hivi wameona Wakiona Simba au Yanga zinatrend sana wanaiba nyotaJamani watanzania tuamke. Yaan wiki mbili nzima ni Ndumbaro Ndumbaro, alafu unaweza Kuta alikaa na wahuni wengine wakamwambia ropoka hivi ili utrend kipindi hiki na sisi tukaingia mkumbo. We vaa jezi hakuna wa kukuzuia
MPira ni mashabiki na ushindani sasa mpira gani huo mtu anatupangia tumzomee nani na tumshabikie nani? Hiyo siyo kazi ya serikali , waziri alisahau majukumu yakeKufatia kauli ya Waziri wa Michezo Mh. Ndumbaro kuwa watawashughulikia wale wote watakaokwenda kuwapokea na kuwashangilia timu pinzani nje na Tanzania ni uamuzi wa kupigwa vita kwani unaenda kuua soka na hata uchumi wa timu zetu.
Imagine mashabiki wananunua jezi za timu pinzani na hata kuingia uwanjani sababu ya huo upinzani je, hakuna faida ya kiuchumi inayopatikana?
Tanzania ni kivyetu vyetu ushindani wetu ndiyo soka letu na kukua kiuchumi hivyo hawa jamaa wanatakiwa kulaaniwa kauli zao kabla ya kuwa terrible.
anafeli sanaMPira ni mashabiki na ushindani sasa mpira gani huo mtu anatupangia tumzomee nani na tumshabikie nani? Hiyo siyo kazi ya serikali , waziri alisahau majukumu yake
Tayari CAF wameskia figisu za Serikali, tuombee lisitokee bayaKufatia kauli ya Waziri wa Michezo Mh. Ndumbaro kuwa watawashughulikia wale wote watakaokwenda kuwapokea na kuwashangilia timu pinzani nje na Tanzania ni uamuzi wa kupigwa vita kwani unaenda kuua soka na hata uchumi wa timu zetu.
Imagine mashabiki wananunua jezi za timu pinzani na hata kuingia uwanjani sababu ya huo upinzani je, hakuna faida ya kiuchumi inayopatikana?
Tanzania ni kivyetu vyetu ushindani wetu ndiyo soka letu na kukua kiuchumi hivyo hawa jamaa wanatakiwa kulaaniwa kauli zao kabla ya kuwa terrible.
ccm wapuuzi sanaTaya
Tayari CAF wameskia figisu za Serikali, tuombee lisitokee baya
Wanataka kuleta Kama Yale ya MOBUTU SESESEKO enzi zile kwenye soka π π π π πccm wapuuzi sana
shenzi type hawa jamaaaWanataka kuleta Kama Yale ya MOBUTU SESESEKO enzi zile kwenye soka π π π π π
Ni upuuzi mkubwa kwa mtu mwenye PHD Tena ya Sheria..shenzi type hawa jamaaa
bongo tunaelimu au tunajifunza kukariri tu,Ni upuuzi mkubwa kwa mtu mwenye PHD Tena ya Sheria..
Mpira Ni burudani na kwenye hizi Zama za ""FOOTBALL GLOBALIZATION""bongo tunaelimu au tunajifunza kukariri tu,