Waziri WA MICHEZO anatakiwa awe amejiuuxulu kwa VITUKO vinavyoendelea pale tff..Mama Samia sema neno Moja tu roho yetu ipone

Waziri WA MICHEZO anatakiwa awe amejiuuxulu kwa VITUKO vinavyoendelea pale tff..Mama Samia sema neno Moja tu roho yetu ipone

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Rwanda hawana tabia ya kuendekeza ujinga kama huuuu

N KANCHI kadogo lakini hakajawahi kukoseankunfundisha adabu pale anapokosea

Mpaka sasa nilitakiwa kuona MH WAZIRI WA MICHEZO akiwa amejiuuxulu na KUOMBA radhi kwa UPUUXI WA TFF na BODI take uliotokea

Else anatakiwa awe ameshafyrka Ile BODI ya tff wakafie mbali wakafanye michezo yao ya kupiga Dili kwenye MICHEZOOO

Niwajuze tu Simba na YANGA Ile BODI inatengenexa helà NYINGI sana msione wapuuzi wameweza KURUDISHA wananchi zaidi ya 3000 mikoano walipotokea sio wajinga

Walioangalia wakaona pesa zilizopatikana so far aziko na MSAADA kwaooo

KUNA KIPINDI kuna Katibu WA tff MMOJA mnene alikuwa akilewa anakwambia kila mechi ya Simba na yangalaxima ajenge ama anunue gari la kifahari

Hawa watu hawafanyi kwa bahati mbaya wakati muafaka sasa WAZIRI HUSIKA kutimua hii BODI ama ajiuzulu

Else TUNAOMBA mama Samia tupatie waziri mwingine HUSIKA mwenye uwezo na mamlka
Ya kukemea ushenzi kama ushenzi uliofanyika Jana na BODI ya LIGI

Hii n kuzalilisha WATANZANIA na wananchi woteee

Hivii hawao wahuni
WANAJUA watanzania wametumia sh ngapi Toka mkoani
.wamelipia lodge sh ngapi
Wamekata TKT za ndege kuhairisha WANAJUA gharama za kubadili TKT

Haya yote n mambo ya kijinga na kipumbavu

Unakuta watu Wana degree zaoo sijui wamepataje ama ndio wamepelekewa mnajibu nyumban WA pste wanaitwa kwenye graduation

Shame n them wote n mambo ya AIBU SANA hili soka alitakaa liendeelee kamwe
 
Ukishabikia sana Simba na Yanga kichwani zinaanza Kuyeyuka.
 
Rwanda hawana tabia ya kuendekeza ujinga kama huuuu

N KANCHI kadogo lakini hakajawahi kukoseankunfundisha adabu pale anapokosea

Mpaka sasa nilitakiwa kuona MH WAZIRI WA MICHEZO akiwa amejiuuxulu na KUOMBA radhi kwa UPUUXI WA TFF na BODI take uliotokea

Else anatakiwa awe ameshafyrka Ile BODI ya tff wakafie mbali wakafanye michezo yao ya kupiga Dili kwenye MICHEZOOO

Niwajuze tu Simba na YANGA Ile BODI inatengenexa helà NYINGI sana msione wapuuzi wameweza KURUDISHA wananchi zaidi ya 3000 mikoano walipotokea sio wajinga

Walioangalia wakaona pesa zilizopatikana so far aziko na MSAADA kwaooo

KUNA KIPINDI kuna Katibu WA tff MMOJA mnene alikuwa akilewa anakwambia kila mechi ya Simba na yangalaxima ajenge ama anunue gari la kifahari

Hawa watu hawafanyi kwa bahati mbaya wakati muafaka sasa WAZIRI HUSIKA kutimua hii BODI ama ajiuzulu

Else TUNAOMBA mama Samia tupatie waziri mwingine HUSIKA mwenye uwezo na mamlka
Ya kukemea ushenzi kama ushenzi uliofanyika Jana na BODI ya LIGI

Hii n kuzalilisha WATANZANIA na wananchi woteee

Hivii hawao wahuni
WANAJUA watanzania wametumia sh ngapi Toka mkoani
.wamelipia lodge sh ngapi
Wamekata TKT za ndege kuhairisha WANAJUA gharama za kubadili TKT

Haya yote n mambo ya kijinga na kipumbavu

Unakuta watu Wana degree zaoo sijui wamepataje ama ndio wamepelekewa mnajibu nyumban WA pste wanaitwa kwenye graduation

Shame n them wote n mambo ya AIBU SANA hili soka alitakaa liendeelee kamwe
Huyu mzee wa watu hajui lolote kuhusu michezo yeye angekaa kule kule kwenye katiba na sheria, Gerson Msigwa angetulia kwenye michezo kama waziri
 
Huyu mzee wa watu hajui lolote kuhusu michezo yeye angekaa kule kule kwenye katiba na sheria, Gerson Msigwa angetulia kwenye michezo kama waziri
Ndihovyooo mama Kam....aondokee tu
 
Selikali hairuhusiwi Kuingilia Sheria za Soka.

FULL STOP
 
Back
Top Bottom