GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Najua unanisoma sana GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo nasubiria Jibu lako kwani Wewe ulivyo na Kiherehere baada ya Kocha Amrouche Kutukera Watanzania kule AFCON ulisema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Kocha Amrouche bado ni Mwalimu Mkuu wa Taifa Stars ila hivi karibuni / majuzi tu Rais wa TFF Wallace Karia alisema tena na kutuhakikishia Watanzania kuwa kuanzia sasa Makocha wa Timu ya Taifa (Taifa Stars) watakuwa ni Wazawa tu.
Wachunguzi wa Mambo tunajua kwanini Kocha Amrouche bado analipwa Mshahara wake Mnono wakati hakuna Kazi aifanyayo sasa na labda nikuonye tu kuwa huu Ujanja Ujanja (Usamjo Usamjo) wako unaoufanya kwa Mgongo wa huyo Kocha usipoangalia utakugharimu na Utatumbuliwa kwa Kashfa ndani ya Siku nyingi. Haraka sana Tangaza kwa Watanzania kuwa Serikali imesitisha Kumlipa Mshahara Kocha wa hovyo hovyo Amrouche na Waambie TFF ambao wanakuogopa ili wasiharibi Uhusiano wao na Serikali kuwa na Wao watangaze rasmi kuwa Amrouche siyo tena Kocha wa Taifa Stars.
Wachunguzi wa Mambo tunajua kwanini Kocha Amrouche bado analipwa Mshahara wake Mnono wakati hakuna Kazi aifanyayo sasa na labda nikuonye tu kuwa huu Ujanja Ujanja (Usamjo Usamjo) wako unaoufanya kwa Mgongo wa huyo Kocha usipoangalia utakugharimu na Utatumbuliwa kwa Kashfa ndani ya Siku nyingi. Haraka sana Tangaza kwa Watanzania kuwa Serikali imesitisha Kumlipa Mshahara Kocha wa hovyo hovyo Amrouche na Waambie TFF ambao wanakuogopa ili wasiharibi Uhusiano wao na Serikali kuwa na Wao watangaze rasmi kuwa Amrouche siyo tena Kocha wa Taifa Stars.