GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Leo ni mara ya pili GENTAMYCINE nakuona kila ukipewa nafasi ya kuhutubia katika hafla za kimichezo huwa unapenda mno kufoka na kutufokea wanamichezo wa Tanzania.
Hiyo wizara wamepita watu (Mawaziri) wazuri kukuzidi na kufanikiwa kwa utendaji wao kiufanisi na hakuna hata siku moja waliwahi kutufokea (kutubwekea ) hovyo kama ufanyavyo wewe.
Badilika japo wewe ni Waziri wa hovyo wa michezo kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania na binafsi kama GENTAMYCINE nisikufiche, sikukubali na nakuona hufai kuwa hapo.
Hiyo wizara wamepita watu (Mawaziri) wazuri kukuzidi na kufanikiwa kwa utendaji wao kiufanisi na hakuna hata siku moja waliwahi kutufokea (kutubwekea ) hovyo kama ufanyavyo wewe.
Badilika japo wewe ni Waziri wa hovyo wa michezo kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania na binafsi kama GENTAMYCINE nisikufiche, sikukubali na nakuona hufai kuwa hapo.