Waziri wa Michezo unatuangusha wanasoka, kuwa mjanja

Waziri wa Michezo unatuangusha wanasoka, kuwa mjanja

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vipi!

Ninachoamini waziri wa michezo anauwezo wa kuingiliia jambo ambalo halipo vizuri na linaonekana kuvuruga au kuharibu vilabu zetu kubwa hususani Club ya Simba na Yanga.

Tukumbuke michezo hususani mpira wa miguu inauwezo wa kuitangaza nchi huko Duniani na watu wengi ulimwenguni wakafahamu pia fursa zilizopo katika nchi yetu kupitia michezo.

Hojo ya msingi ni kwamba katika kipindi hichi tumeona vurugu zilizopo kwenye club ya simba,vurugu ambazo zinaweza kuisababishia cluba hiyo kuporomoko na kushindwa kufanya vizuri katika viwango vya kimataifa .mfano club bingwa.

Vurugu hizi zimeonekana zikilalamikiwa na mashabiki na watu mbalimbali wenye mapenzi mema na Club ya Simba na soko kwa ujumla.

Vidole vya mashabiki na watu wengine wanaojua chanzo cha vurugu na hujuma iliyopo ndani ya club wamewaonyoshea videlo viongozi wa Simba husani kiongozi anayeitwa Mangungu na Try again na wamekuwa wakifanya juhudi kuwashinikiza wajihuzulu lakini wizara ya michezo ipo kimya kama vile hawana masikio.

Madhara ya hawa viongozi kugoma kujiuzulu kwa kiburi tumeona juzi pale uwanja wakati Simba wakicheza na Asec, washabiki walikuwa wachache sana na wacheza walikuwa wakicheza kama wana mgomo baridi lakini waziri amekaaa tu.

Waziri unauwezo wa kuwashauri hawa viongozi wajihuzulu ili kuleta Reformation ndani ya Club ya Simba kwa Maslahi ya Club na Taifa kwa ujumla.

Hao viongozi wanaogomo kujihuzulu kwa maslahi ya club au kwa maslahi binafsi?

Kama ni kwa maslahi binafsi basi hawafai na waziri unapaswa kuwashauri wajiuzu mapema na haraka kwa maslahi ya club na taifa kwa ujumla.

Haiwezekani viongozi fulani wanatwaja wao wao kila kona alafu unasema hawanasababu ya kujiuzulu.

Tunaomba usimuangushe Rais Samia,mfano juzi amesikia tuhuma za naibu waziri Paulina Gekul, akachukua hatua haraka, kwanini wewe waziri unakuwa mzito?
 
Tatizo la Tanzania ni kuwa na wananchi wengi mbumbumbu!

Na mbumbumbu wengi wamejazana kushabikia mpira wa Simba na Yanga.

Tatizo la Simba si Mangungu wala Try Again!

Tatizo la Simba ni management structure yao!

Kina Mangungu wana Mamlaka lakini hawana nguvu kwenye timu kwa kuwa siyo wenye pesa au waweka mzigo kwenye timu!

Mudi kwa kuwa ndiye mwenye pesa kwa vyovyote vile atataka kuwaendesha hao viongozi anavyotaka yeye Mudi!
Tatizo lazima liwe hapo na migogoro ya kiuongozi Ina demoralize wachezaji!

Sasa Ma-mbumbumbu ndani ya Simba utasikia hatuwataki Mangungu wala Try Again na tunamtaka Babra ( Barbara)!

Babra ni mouthpiece ya Mudi hivyo kufanikiwa kwake ni obvious.
 
Watu milioni moja kila mmoja akiweka shilingi 2000/=kwa mwezi tunapata 2 Billion.....kwa mwaka 24 Billion.
1,000,000 x 2000 × 12 =24,000,000,000/= ???? Wabongo tunakwama wapi 💪🇹🇿👍
 
Kujiuzulu kwa Mangungu na Try Again sio suluhisho la Simba kuja kufanya vizuri kwa maana ya kuongeza kiwango cha uwanjani.

Wachezaji wajitume mmoja mmoja, kocha afanye kazi yake bila ya kuingiliwa na fitina za wajuaji. Watafutwe wachezaji wengi vijana wenye uwezo wa kuucheza mpira.

Maneno maneno huwa hayana msaada kwenye mpira, ni mchezo wa kisayansi zaidi.
 
Tatizo la Tanzania ni kuwa na wananchi wengi mbumbumbu!
Na mbumbumbu wengi wamejazana kushabikia mpira wa Simba na Yanga.
Tatizo la Simba si Mangungu wala Try Again!
Tatizo la Simba ni management structure yao!
Kina Mangungu wana Mamlaka lakini hawana nguvu kwenye timu kwa kuwa siyo wenye pesa au waweka mzigo kwenye timu!
Mudi kwa kuwa ndiye mwenye pesa kwa vyovyote vile atataka kuwaendesha hao viongozi anavyotaka yeye Mudi!
Tatizo lazima liwe hapo na migogoro ya kiuongozi Ina demoralize wachezaji!
Sasa Ma-mbumbumbu ndani ya Simba utasikia hatuwataki Mangungu wala Try Again na tunamtaka Babra ( Barbara)!
Babra ni mouthpiece ya Mudi hivyo kufanikiwa kwake ni obvious.
Tambua kuwa miongoni mwa wajumbe wa bodi wa upande wa Mo Dewji wapo waswahili kama mimi na wewe.

Mo Dewji anayo nia njema sana na Simba pamoja na mafanikio yake, angekuwa haifai Simba asingekubali kumlipa Benchikha mshahara wa shilingi milioni 70 kwa mwezi.

Cha muhimu ni kocha mpya kuachiwa uwanja wa kufanya kazi na kuwa na maamuzi ya mwisho kwa wachezaj na timu kwa ujumla. Masuala ya baadhi ya viongozi kupenyeza vimemo kwa kocha nina uhakika watamkera mapema sana huyu mualgeria iwapo wataanza tena huo upumbavu wao.

Pia Simba tuache kuabudu mastaa kina Chama, tutafute wachezaji vijana wenye uwezo ambao watakaa kwa misimu mingi kuliko kutegemea ageing squard tuliyonayo msimu huu.
 
Tatizo la Tanzania ni kuwa na wananchi wengi mbumbumbu!
Na mbumbumbu wengi wamejazana kushabikia mpira wa Simba na Yanga.
Tatizo la Simba si Mangungu wala Try Again!
Tatizo la Simba ni management structure yao!
Kina Mangungu wana Mamlaka lakini hawana nguvu kwenye timu kwa kuwa siyo wenye pesa au waweka mzigo kwenye timu!
Mudi kwa kuwa ndiye mwenye pesa kwa vyovyote vile atataka kuwaendesha hao viongozi anavyotaka yeye Mudi!
Tatizo lazima liwe hapo na migogoro ya kiuongozi Ina demoralize wachezaji!
Sasa Ma-mbumbumbu ndani ya Simba utasikia hatuwataki Mangungu wala Try Again na tunamtaka Babra ( Barbara)!
Babra ni mouthpiece ya Mudi hivyo kufanikiwa kwake ni obvious.
Bila shaka wewe utakuwa mangungu au try again..maana umecoment kwa hasira sana..rungu lazima likupige tu
 
Kujiuzulu kwa Mangungu na Try Again sio suluhisho la Simba kuja kufanya vizuri kwa maana ya kuongeza kiwango cha uwanjani.

Wachezaji wajitume mmoja mmoja, kocha afanye kazi yake bila ya kuingiliwa na fitina za wajuaji. Watafutwe wachezaji wengi vijana wenye uwezo wa kuucheza mpira.

Maneno maneno huwa hayana msaada kwenye mpira, ni mchezo wa kisayansi zaidi.
Uongozi na ufanisi wa timu au club ni vitu viwili ambazo azihachani..uongozi ukiwa ovyo na timu inakuwa ovyo..haijalishi hata kiwepo na kocha bora. Mfano kuna kipa alitaka kusajiliwa na simba, viongozi wao nikupiga simu kama wanatongoza mwanamke baadala ya kufuata mchezaji na kuonyesha usereous.

Pia wakati walipo taka kumsajili azizi key..viongozi wasimba wao nikupiga simu wakiwa mbali kumpigia mcezaji kutaka kusajili badala wamfutwe mchezaji na kuonyesha usereous walipo zubaa wakapigwa bao..pia usajili wa magumashi unasabavishwa na hao viongozi.

Kushindwa kuwa na uzalendo na ufahamu wa mpira za kujua wachezaji bora wa kuwasajilu, mfano anfalia usajili wa onana..hapo utawalaamu washabiki, kocha ua nani?
 
Tatizo la Tanzania ni kuwa na wananchi wengi mbumbumbu!
Na mbumbumbu wengi wamejazana kushabikia mpira wa Simba na Yanga.
Tatizo la Simba si Mangungu wala Try Again!
Tatizo la Simba ni management structure yao!
Kina Mangungu wana Mamlaka lakini hawana nguvu kwenye timu kwa kuwa siyo wenye pesa au waweka mzigo kwenye timu!
Mudi kwa kuwa ndiye mwenye pesa kwa vyovyote vile atataka kuwaendesha hao viongozi anavyotaka yeye Mudi!
Tatizo lazima liwe hapo na migogoro ya kiuongozi Ina demoralize wachezaji!
Sasa Ma-mbumbumbu ndani ya Simba utasikia hatuwataki Mangungu wala Try Again na tunamtaka Babra ( Barbara)!
Babra ni mouthpiece ya Mudi hivyo kufanikiwa kwake ni obvious.
Ona hi takataka lazima muachie madaraka kudadeki zenu
 
Ona hi takataka lazima muachie madaraka kudadeki zenu
Yaani katika nchi za watu wenye akili za juu na zilizostaharabika. Ukishatuhumiwa a kunyooshewa vidole, haijalishi ni tuhuma za kweli au la..achia madaraka..na inakuwaje wanyooshewe wao vidole tu, kuna kitu lazima.
 
Watu milioni moja kila mmoja akiweka shilingi 2000/=kwa mwezi tunapata 2 Billion.....kwa mwaka 24 Billion.
1,000,000 x 2000 × 12 =24,000,000,000/= ???? Wabongo tunakwama wapi 💪🇹🇿👍
Wakati huo mafisadi wako wapi? 🤣
 
Tatizo la Tanzania ni kuwa na wananchi wengi mbumbumbu!

Na mbumbumbu wengi wamejazana kushabikia mpira wa Simba na Yanga.

Tatizo la Simba si Mangungu wala Try Again!

Tatizo la Simba ni management structure yao!

Kina Mangungu wana Mamlaka lakini hawana nguvu kwenye timu kwa kuwa siyo wenye pesa au waweka mzigo kwenye timu!

Mudi kwa kuwa ndiye mwenye pesa kwa vyovyote vile atataka kuwaendesha hao viongozi anavyotaka yeye Mudi!
Tatizo lazima liwe hapo na migogoro ya kiuongozi Ina demoralize wachezaji!

Sasa Ma-mbumbumbu ndani ya Simba utasikia hatuwataki Mangungu wala Try Again na tunamtaka Babra ( Barbara)!

Babra ni mouthpiece ya Mudi hivyo kufanikiwa kwake ni obvious.
Well said!
Mchakato wa mabadiliko uliozaa Katiba ya Simba SC uliingiliwa kwa zaidi 95% na serikali!
Timu zetu ili zifike mbali zaidi inabidi mwekezaji apewe asilimia kubwa ya HISA au anunue zote! Na aje na management structure yake!
Waige Uingereza wanavyouza timu zao kwa wawekezaji!
Lakini hizi styles za wasiokuwa na fedha kumiliki HISA nyingi (51%) huku mwenye fedha akimiliki chache (49%) ni mwanzo wa kukuza migogoro na utumwa mamboleo!
Tuache siasa kwenye soka!
 
Uongozi na ufanisi wa timu au club ni vitu viwili ambazo azihachani..uongozi ukiwa ovyo na timu inakuwa ovyo..haijalishi hata kiwepo na kocha bora. Mfano kuna kipa alitaka kusajiliwa na simba, viongozi wao nikupiga simu kama wanatongoza mwanamke baadala ya kufuata mchezaji na kuonyesha usereous.

Pia wakati walipo taka kumsajili azizi key..viongozi wasimba wao nikupiga simu wakiwa mbali kumpigia mcezaji kutaka kusajili badala wamfutwe mchezaji na kuonyesha usereous walipo zubaa wakapigwa bao..pia usajili wa magumashi unasabavishwa na hao viongozi.

Kushindwa kuwa na uzalendo na ufahamu wa mpira za kujua wachezaji bora wa kuwasajilu, mfano anfalia usajili wa onana..hapo utawalaamu washabiki, kocha ua nani?
Huwezi kujua kipi haswa kinachowasibu mpaka wanacheza chini ya kiwango msimu huu. Nampa muda kocha mpya naupa muda uongozi.
 
Hapo vipi!

Ninachoamini waziri wa michezo anauwezo wa kuingiliia jambo ambalo halipo vizuri na linaonekana kuvuruga au kuharibu vilabu zetu kubwa hususani Club ya Simba na Yanga.

zi amesikia tuhuma za naibu waziri Paulina Gekul, akachukua hatua haraka, kwanini wewe waziri unakuwa mzito?
Yeye huyo waziri akivudunda anaweza kujiuzulu? Unampa ushauri mtu ambaye Hana uwezo wa kufanya hivyo yeye binafsi!
 
Timu za serikali hizo zinatumika kupumbuza Watz wengi wajingawajinga(mambumbumbu) waache kujadili na kufikiri mambo ya msingi yenye mustakabali katika nchi na kila mwana jamii Kwa ujumla,,wao nikupiga domo tuu mara trai ageing,,mara Mo deuji hujakaa Sawa msulidei,,bila ya kujua ya kuwa nyuma ya pazia %kubwa ni mambo yalipangwa Kwa makusudi,,mbele ya kamera ni maigizo matupu
 
Timu za serikali hizo zinatumika kupumbuza Watz wengi wajingawajinga(mambumbumbu) waache kujadili na kufikiri mambo ya msingi yenye mustakabali katika nchi na kila mwana jamii Kwa ujumla,,wao nikupiga domo tuu mara trai ageing,,mara Mo deuji hujakaa Sawa msulidei,,bila ya kujua ya kuwa nyuma ya pazia %kubwa ni mambo yalipangwa Kwa makusudi,,mbele ya
Ka kaze sura na Chadema yako..hiyo ni kampuni ya mtu..kila nchi kuna mpira na nitofauti na siasa..kila kitu inasehemu yake ila usitake watu wote waishi kama wewe
 
Back
Top Bottom