Waziri wa Michezo unatuangusha wanasoka, kuwa mjanja

Mambo ya nia njema katika biashara ni uswali tu,
Mo ananufaika sana kibiashara na Simba ila hakuna uthibitisho wala uwazi jinsi gani Simba inanufaika na uwekezaji wa Mo au kama inanufaika inavyostahili kwa kiwango stahiki.
 
Mambo ya nia njema katika biashara ni uswali tu,
Mo ananufaika sana kibiashara na Simba ila hakuna uthibitisho wala uwazi jinsi gani Simba inanufaika na uwekezaji wa Mo au kama inanufaika inavyostahili kwa kiwango stahiki.
Anamilki asilimia 49 tu ya hisa, hizo 51 ni zetu waswahili. Sisi pia ni wamiliki wa team, je tunafanya nini katika kuboresha uwezo wa kikosi kuliko kumuachia kila kitu yeye na kuishia kumlaumu tu?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…