Waziri wa Michezo wa Ivory Coast asema hamjui Pacome

Halafu ndio mnategemea kuinua soka lenu la TZ. Waziri mzima anauliza swali la kijinga namna hiyo?
 
Mimi nakutana na investors na sio walevi,wanunua malaya na wala starehe kwa kutumia mishahara.
Mie situmii mshahara bwege wewe kama unakutana na investors tukutane TIC j3 au j3 pale DSE tuongee biashara..mbumbumbu wahed wewe ...
 
Kuna sehemu nimesema Pacome ni mchezaji mbaya?
 
Mie situmii mshahara bwege wewe kama unakutana na investors tukutane TIC j3 au j3 pale DSE tuongee biashara..mbumbumbu wahed wewe ...
Sioni cha kuzungumza na mtu mweusi mwenye akili ndogo kama yako,usiyejua Simba sc ndio timu bora na kubwa na namba 1 Tanzania Africa mashariki na kati na namba 7 Africa,na ndio timu pekee inayowania kucheza world cup..sana sana utaniletea uchawi
 
Huku anangarishwa na uchawi wa timu.. so sio jambo la kushangaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…