Fidia ya nini hayo mashamba yenyewe wamepewa bure labda watake mashamba serikali itawapatia bure tz ina ardhi ya kutosha vijijini unauziwa heka moja tsh100000 = kama ksh5000 tuNyinyi niwanyonge kweli juu mimi siwezi Kubali shamba langu kutumiwa kama la bibi bila fidia reasonable. Sasa eti unanyakua kipande cha shamba langu unifidie na umeme??? You are jokers.
Ndiyo maana umasikini umekidhiri huko kama bei ya shamba ni sooo cheap, sasa Ata ukitaka kuchukua mkopo kwa bank sioni vile watakupea kama collateral yako haina dhamana ya kutosha.Fidia ya nini hayo mashamba yenyewe wamepewa bure labda watake mashamba serikali itawapatia bure tz ina ardhi ya kutosha vijijini unauziwa heka moja tsh100000 = kama ksh5000 tu
Yote hiyo mi nlinunua kila eka 30000 mwaka 2010 njia ya kwenda songea....mwambie nyang'au tz cio kenyaFidia ya nini hayo mashamba yenyewe wamepewa bure labda watake mashamba serikali itawapatia bure tz ina ardhi ya kutosha vijijini unauziwa heka moja tsh100000 = kama ksh5000 tu
Hapa siyo Kenya mkuu.Hii ni kawaida sana TZ, wananchi huachia maeneo yao willingly kupisha miradi ya maendeleo. Hasa nguzo za umeme, imekua kama desturi sasa. Ndyo maana Dr Kalemani akaongea hivyo. Ila ikitokea mwananchi akagoma serikali haina jinsi lazima walipe fidia kwa mujibu wa sheria.
Ila uzuri huku wananchi waka waida wana ardhi kubwa, kuachia viatua viwili siyo ishu, kwa Kenya itakua ishu kwasababu mtu utamwambiaje akuachie atua mbili wakati ndyo hiyo hiyo anayo.
Hii ni Tanzania na huko ni Kenya, tabia ya kila mtu kukumbatia ardhi na kusubiri fidia kubwa, ndiyo iliyosababisha Uganda pipeline kuhamia Tanzania, ajira nyingi zimepotea, na serikali kukosa mapato ya karibu $1B kwa mwaka. Tabia yenu ya kukataa na ardhi hata kama huna uwezo wa kuzalishia mali ndiyo inayoifanya Kenya kuwa na njaa isiyokwisha na kuitegemea Tanzania kwa chakula, sisi tunaokubali kuachia ardhi kwa faida ya nchi, ndiyo mnaotutegemea kwa chakula.Nyinyi niwanyonge kweli juu mimi siwezi Kubali shamba langu kutumiwa kama la bibi bila fidia reasonable. Sasa eti unanyakua kipande cha shamba langu unifidie na umeme??? You are jokers.
viwanja hivyo vimejengwa Kwa phases. Wap greenfield airport?Serikali ya SSM huwa siiamini,huwa mbwembwe sana kuliko kutekeleza,kuna airport za mwanz na songwe zinajengwa toka enz za mkapa haijulikan zitaisha lini hata huu mradi toka tumezaliwa ni hadithi hizo hizo,fanyeni ndo nje kusifu humu
Serikali ya SSM huwa siiamini,huwa mbwembwe sana kuliko kutekeleza,kuna airport za mwanz na songwe zinajengwa toka enz za mkapa haijulikan zitaisha lini hata huu mradi toka tumezaliwa ni hadithi hizo hizo,fanyeni ndo nje kusifu humu
We nawe kwani umelazimishwa uiamini?Serikali ya SSM huwa siiamini,huwa mbwembwe sana kuliko kutekeleza,kuna airport za mwanz na songwe zinajengwa toka enz za mkapa haijulikan zitaisha lini hata huu mradi toka tumezaliwa ni hadithi hizo hizo,fanyeni ndo nje kusifu humu
acha povuuuuWe nawe kwani umelazimishwa uiamini?
Kupea ndo nini sasa? Hahaha eti kupeaNdiyo maana umasikini umekidhiri huko kama bei ya shamba ni sooo cheap, sasa Ata ukitaka kuchukua mkopo kwa bank sioni vile watakupea kama collateral yako haina dhamana ya kutosha.
Hapa Kenya bei ya shamba iko juu such that unaweza kuchukua mkopo na kufadhili biashara yako ukitumia title deed kama collateral huku ukilipa pole pole.
Serikali ya SSM ndiyo serikali gani!!? Wasalimie Kibera jombaaSerikali ya SSM huwa siiamini,huwa mbwembwe sana kuliko kutekeleza,kuna airport za mwanz na songwe zinajengwa toka enz za mkapa haijulikan zitaisha lini hata huu mradi toka tumezaliwa ni hadithi hizo hizo,fanyeni ndo nje kusifu humu
We nae kwani lazima niandike ccm ndo uelewe? Huku hawajamboSerikali ya SSM ndiyo serikali gani!!? Wasalimie Kibera jombaa
Hiyo airport hainihusu wauliz wakenya mm ni mtanzania.viwanja hivyo vimejengwa Kwa phases. Wap greenfield airport?
Mmh kuchimbia nguzo iwe tril? No thank youBillion 6.1 au trillion 6.1?
This is possible only under magufuli presidencyBillion 6.1 au trillion 6.1?