Waziri wa nishati simamia Mafuta yapatikane

Waziri wa nishati simamia Mafuta yapatikane

D2050

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
1,919
Reaction score
1,094
Kumekuwa na hali mbaya ya upatikanaji mafuta hasa ya petroli katika miji mingi hapa nchi. Manispaa ya Songea sheli kubwa zote hazina mafuta yapata siku 5 sasa.

Hii hali inahatarisha uchumi wa wananchi kwasababu sehemu walizokuwa wanaenda kwa 1000 kwa pikipiki saizi wanatumia 2000. Foleni kwenye sheli yenye mafuta ni kubwa sana na inasababisha watu kupigana

Naibu Waziri Mkuu, kaa chini na Waziri wa fedha awape dola waagiza mafuta ili yapatikane kwa urahisi.
 
Kumekuwa na hali mbaya ya upatikanaji mafuta hasa ya petroli katika miji mingi hapa nchi. Manispaa ya songea sheli kubwa zote hazina mafuta yapata siku 5 sasa.
Hii hali inahatarisha uchumi wa wananchi kwasababu sehem walizokuwa wanaenda kwa 1000 kwa pikipiki saizi wanatumia 2000.
Foleni kwenye sheli yenye mafuta ni kubwa sana na inasababisha watu kupigana

Naibu waziri mkuu,kaa chini na waziri wa fedha awape dola waagiza mafuta ili yapatikane kwa urahisi
Mh! Nothing new ll be come out!!
 
Viongozi sehemu ambazo wao ni wauzaji bei zinapanda balaa eg mafuta, ila sehemu ambazo viongozi ni wanunuzi bei zinashuka kwa kasi au kudumaa palepale, eg korosho na pamba!!
Hali imekuwa mbaya,na serikali ipo kimya sana ivi hawaoni au wanamapuuza
 
Kumekuwa na hali mbaya ya upatikanaji mafuta hasa ya petroli katika miji mingi hapa nchi. Manispaa ya songea sheli kubwa zote hazina mafuta yapata siku 5 sasa.
Hii hali inahatarisha uchumi wa wananchi kwasababu sehem walizokuwa wanaenda kwa 1000 kwa pikipiki saizi wanatumia 2000.
Foleni kwenye sheli yenye mafuta ni kubwa sana na inasababisha watu kupigana

Naibu waziri mkuu,kaa chini na waziri wa fedha awape dola waagiza mafuta ili yapatikane kwa urahisi
Hivi shida ni nini?
 
Mh.Naibu Waziri mkuu analiona hilo na kwa kipawa kikuu cha uongozi alichonacho....dakika sifuru yatatatulika.....

Samia kazungukwa na akili kubwa[emoji123]
 
Mh.Naibu Waziri mkuu analiona hilo na kwa kipawa kikuu cha uongozi alichonacho....dakika sifuru yatatatulika.....

Samia kazungukwa na akili kubwa[emoji123]
Baazi yao akili kubwa lakini wanashindwa kutatua matatizo ya wananchi wao
 
Kumekuwa na hali mbaya ya upatikanaji mafuta hasa ya petroli katika miji mingi hapa nchi. Manispaa ya songea sheli kubwa zote hazina mafuta yapata siku 5 sasa.
Hii hali inahatarisha uchumi wa wananchi kwasababu sehem walizokuwa wanaenda kwa 1000 kwa pikipiki saizi wanatumia 2000.
Foleni kwenye sheli yenye mafuta ni kubwa sana na inasababisha watu kupigana

Naibu waziri mkuu,kaa chini na waziri wa fedha awape dola waagiza mafuta ili yapatikane kwa urahisi
Waziri aangalie upo uwezekano kupata mafuta ya bei poa toka urusi. Tunapigwa na wahindi kama vile hatuna akili. Wao wanapata discounted mafuta kwa 30pc toka urusi halafu wanatupiga huku waagizaji wetu hawajali bei kwa wananchi mradi wao chao wanapata.
 
I'm sure mafuta yapo, isipokua yamefichwa na wafanya biashara huku wakijiona kwamba wana nguvu zaidi ya mamlaka.
 
Naibu Wazuri Mkuu amuwajibishe Waziri wa Nishati.

Nchi Ina vituko hii...
Hovyooo
Naibu waziri mkuu doto biteko,waziri wa nishati doto biteko mkuu
 
Waziri aangalie upo uwezekano kupata mafuta ya bei poa toka urusi. Tunapigwa na wahindi kama vile hatuna akili. Wao wanapata discounted mafuta kwa 30pc toka urusi halafu wanatupiga huku waagizaji wetu hawajali bei kwa wananchi mradi wao chao wanapata.
Kama wanania nzuri ya kuongoza hii nchi wangefanya hivyo
 
I'm sure mafuta yapo, isipokua yamefichwa na wafanya biashara huku wakijiona kwamba wana nguvu zaidi ya mamlaka.
Nguvu wanayo kwasababu baadhi ya viongozi wamo kwenye biashara hiyo ya mafuta
 
Mwigulu kazi imemshinda..kashindwa kabisa kusimamia uchumi wa nchi.
Tangu mwanzo mikakati yake juu ya kuimalisha uchumi ni mibovu.
Mala ruzuku mala tozo. Huu ni upuuzi wa hali ya juu.
 
Sababu kuu ya shida ya mafuta ni huu utaratibu wa kukokotoa bei ya kila mwezi. Hasara au usumbufu kwa wananchi na uchumi wa nchi kwa ujumla ni kubwa kuliko faida zake.
Wafanyabiashara wakijua bei itapanda hawatauza, watasubiri bei ipandishwe rasmi na mamlaka husika.
 
Back
Top Bottom