Waziri wa Nishati sio mbunifu kutuondoa kwenye matatizo yanayosababishwa na umeme. Hajui nchini kuna Uraniun?

Nini kinatuzuia kurutubisha na kisha kujenga? Kuhaha kujenga LNG plant ni ishu nyingine hoja hapa ni kutatua tatizo la nishati.
Kama mtu una shida ya usafiri, umeshindwa hata kununua usafiri basic kabisa kama baiskeli, halafu unawaza kununua SUV Range Rover Sports.

Tanzania tuna maji, the cheapest power generation, ikifuatiwa na gesi, halafu nuclear power ndio the most expensive, kama hiyo cheaper LNG imetushinda, what about a nuclear reactor?!.
Tuachani siasa na blah blah
P
 
Hapa ndio ukubaliane na mimi kuwa kuna tatizo kubwa kwa huyu waziri Makamba.
 
Hapa ndio ukubaliane na mimi kuwa kuna tatizo kubwa kwa huyu waziri Makamba.
No tatizo sio Waziri Makamba, tatizo ni kubwa zaidi ya Waziri Makamba na halikuanza Leo!

Tatizo ni hapa
P
 
Maisha ni safari ndefu na kumbuka mabadiliko yanaanza na wewe na mimi. Nidhamu yako kazini, kujituma ni sehemu tu ya maendeleo ya kitaifa.
 
Nina uhakika hujui unachoongea!
 
Iran anateswa na Reactor moja tu mpaka leo.

Daraja la Ruvu tumejengewa na Wachina hao wasomi wetu wanachojua ni kuisimanga Royal Tour tu.

Labda ni Wajuzi katika kujenga Vitambi tu.
 
Iran anateswa na Reactor moja tu mpaka leo.

Daraja la Ruvu tumejengewa na Wachina hao wasomi wetu wanachojua ni kuisimanga Royal Tour tu.

Labda ni Wajuzi katika kujenga Vitambi tu.
Sasa hapo umepost nini? Upuuzi mtupu.
 
Mimi nakunyonyesha tu dudu mpaka nakukojolea mdomoni. Kenge shoga. Unapaparukia wanaume kama lazima upigwe bo...ooo
Hili jukwaa ni la Great thinkers wewe unalifanya la mipasho get lost.

Njoo na Hoja au get the f outa here. Sister.

Acha kuuza Kangala njoo nikuhifadhi.
 
Wanajua kila kitu na kila jambi, ukiona hivyo ujue wakati wake bado...
 
Maisha ni safari ndefu na kumbuka mabadiliko yanaanza na wewe na mimi. Nidhamu yako kazini, kujituma ni sehemu tu ya maendeleo ya kitaifa.
Ninalitambua hilo mkuu,ninajiamini mimi ni mtenda kazi ila nchi yetu wanaofaidi ni watu wajanja ndani ya CCM&System zao.Hawana ubunifu ndiyo maana nchi imekuwa omba omba wa misaada duniani pamoja na raslimali ilizonazo.
Watanzania ni wachapa kazi na watiifu mno ndiyo maana kuna watawala wanaostarehe kufuru kwa jasho letu.Ukitaka kuwafahamu waroho hao wa madaraka watajie madai ya Katiba mpya au hitaji la tume huru ya uchaguzi usikie wanavyong'aka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…