Waziri wa Nishati Toa kibanzi kabla ya kuona Boriti

Kamakabuzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2007
Posts
2,903
Reaction score
1,360
Mr. Naibu waziri mkuu na Waziri wa nishati, safisha shirika lako la tanesco. Hamna mtaalamu wa IT? Ebu tafuta deni la kodi ya Jengo uone majibu yake kwenye website ya shirika:
 
Taasisi za serikali ziko kizembe sana,,Hii Tanesco ingekuwa ni kampuni ya watu, unakuta taarifa ziko wazi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…