Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

Waziri wa Sanaa na Michezo aombe msamaha mashabiki wa Soka la Tanzania na Kutengua kauli yake kabla ya 29/03/2024

Risala ndefuu, halafu yote ni đź’¨ tu. Yaani mijitu mizima na akili zenu mnalilia vitu vya kipuuzi!

Kwani msipovaa hizo jezi au kuwashangilia hao wageni, mtapungukiwa nini? Kama siyo ujinga tu unaowasumbua
Mkuu,

Kuna hoja nzito sana za kifalsafa kuhusu uhuru wa watu binafsi, haki za kikatiba, haki za binadamu, haki za watu kujiamulia mambo yao wenyewe, maana ya uzalendo, kutenganisha siasa na michezo, na nyingine nyingi kama hizo.

Ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri, huwezi kuona hizo hoja za kifalsafa, utaona mjadala wa jezi na kuwashangilia wageni tu.
 
Wanaolalamika wengi ni mashabiki wa Simba. Wanatamani kuvaa jezi za njano ila hawana sababu ya kuwafanya wavae sasa imejitokeza hii ya Mamelodi ghafla waziri katoa tamko sasa wanaumia hizi jezi za njano watazivalia wapi?
 
Nimeona Jana kauli ya Waziri kuwa hataruhusiwa Mtanzania kuingia uwanjani na jezi ya Team ambayo siyo ya Tanzania, Mfano Mtanzania anaeishabikia team ya Mamelod hataruhusiwa kwenda kushuhudia team yake Ikicheza na Yanga eti kisa uzalendo,

Kwenye michezo hasa ngazi ya vilabu hakuna sheria ya uzalendo, mtu anaruhusiwa kushabikia team yoyote ile ambao anahisi ndio inamfurahisha kama tungekuwa na ushabiki wa Inchi kwenye vilabu basi soka la china ndio lingekuwa na mashabiki wengi kama tutatumia kigezo cha utaifa katika soka ngazi ya vilabu kwa kuzingatia wingi wa wanainchi wa China.

Wito wangu ni kwamba viongozi wetu kabla hawajatoa matamko waweze kutafakari kwa kina, Lakini pia je Waziri wa sanaa na Michezo anaijua soka? Anajua maana ya ushabiki? Je alishawahi kuwa shabiki?

Hutuwezi kulazimishana katika uhuru wa kufurahi, kitendo cha kuingilia uhuru wa mtu aipende Team gani kwa sababu tu ya Utaifa ni kuingilia uhuru wa wanainchi na kuingilia taratibu za soka na hata kupoteza mvuto wa ligi ya Tanzania kwani huu upinzani na utani ndio umepelekea vilabu vya Tanzania kutambua thaman yao na kufanya vizuri zaidi.

Nimedhamilia mimi ni shabiki wa mamelodi na nitaingia kuangalia mpira nikiwa na Jezi ya Team yangu pendwa iwapo nitazuiliwa kuingia uwanjani kutokana na sheria iliyowekwa na serikali, Mimi pamoja na mashabiki wenzangu tutaenda kutafta haki yetu CAF na tutareport kunyimwa haki kuingia uwanjani,

Tupo tayari kuriport CAF kwa kuwa sisi wanasoka tunatambua CAF ndio chombo cha kutetea na kutatua changamoto za kimchezo wala sio Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania,

Namkumbusha waziri kiwa vipo vingi sana vya kuzingatia katika kutukuza uzalendo kama vile kupambana na Rushwa, uvujaji wa mali za umma, Utii wa viongozi maofisini na makazini, kupunguza tozo na mfumuko wa Bei, Maadili na kulinda utamaduni wa Mtanzania, huo ndio uzalendo, ila sio katika soka, soka ni sehem ya burudani, starehe kwa hiyo mtu ana haki ya kuchagua kipi chakumstamstaresha na kumburudisha, Mpira hauna uzalendo, maana kuna watu hata mpira hawaujui ila likija swala la uzalendo ni wazalendo haswa.

Tanzania Amka! Tunapoelekea naona soka la Tanzania linaenda kupigwa burn. Kwa uhuru wa maamzi ya mtu mmoja ambae hafaham soka.
Huyu waziri laiti asingetoa hii kauli. Ameleta taaruku na kuna kila dalili ya mchezo kujawa na fujo. Manara aliwahi sema in public kwamba Simba wananyunyuzia wapinzani wao sumu vyumbaji, serikali haijawahi sema lolote. Kote duniani, hakuna shabiki anayechaguliwa timu ya kushangilia bali huchagua mwenyewe.
 
Mkuu,

Kuna hoja nzito sana za kifalsafa kuhusu uhuru wa watu binafsi, haki za kikatiba, haki za binadamu, haki za watu kujiamulia mambo yao wenyewe, maana ya uzalendo, kutenganisha siasa na michezo, na nyingine nyingi kama hizo.

Ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri, huwezi kuona hizo hoja za kifalsafa, utaona mjadala wa jezi na kuwashangilia wageni tu.
Bado hujanishawishi! Na bado sijaona mantiki yoyote ile ya watu wazima, kulialia kama watoto wadogo! Kisa tu wamezuiliwa kuvaa jezi za wageni na kuwashangilia.
 
Yanga Ina baadhi ya mashabiki wa hovyo sana. Kwa hiyo mnataka kuwashangilia Al Ahly?..........
 
Bado hujanishawishi! Na bado sijaona mantiki yoyote ile ya watu wazima, kulialia kama watoto wadogo! Kisa tu wamezuiliwa kuvaa jezi za wageni na kuwashangilia.
Sina nia ya kukushawishi.

Ndiyo maana nikasema ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri huwezi kuona hoja za kifalsafa nilizozitaja.

Nitakushawishi vipi wakati huna uwezo wa kufikiri wa kuweza kuona hoja za kifalsafa nilizozitaja, umeishia kwenye jezi na kushangilia timu?

Ni wazi kuwa siwezi na wala sina nia ya kukushawishi.

Naweka hoja za kifalsafa kwa upana zaidi, wenye uwezo mkubwa wa kufikiri waone.

Ingawa najibizana na wewe, hizi hoja si kwa ajili yako.

Zimepita kimo chako cha fikra.
 
Risala ndefuu, halafu yote ni [emoji100] tu. Yaani mijitu mizima na akili zenu mnalilia vitu vya kipuuzi!

Kwani msipovaa hizo jezi au kuwashangilia hao wageni, mtapungukiwa nini? Kama siyo ujinga tu unaowasumbua
Mata... yako kama.soka huijui hupaswi kunyanyua kopo lako na kuzungumza, mpira sio siasa mpira ni burudani na kufanya hivyo ndio burudani yenyewe nakushauri wewe ukapige punyeto tu maana ndio furaha yako ilipo hapa kwenye soka tuachie sisi tunaojua maaa ya mpira na raha ya mpira, wewe endelea kupiga nyeto.
 
Ila kumbuka hii pesa ya serikali haitolewi kwa wachezaji bali vinapewa vilabu vyetu.
Sasa pesa ya serikali inaingiaje hapa kwenye ushabiki, ko wakitoa pesa ndio tushabikie team wanazotaka wao kisa wametoa pesa. Kama wanatoa pesa ili tushabikie tujue tu kuwa wanatununua bila ridhaa yetu
 
Wanaolalamika qengi ni mashabiki wa Simba. Wanatamani kuvaa jezi za njano ila hawana sababu ya kuwafanya wavae sasa imejitokeza hii ya Mamelodi ghafla waziri katoa tamko sasa wanaumia hizi jezi za njano watazivalia wapi?
Vyovyote tu, ila mamelodi wajue tuko nao kiroho na kimwili ili awakate ngebe....[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Watapiga watu na kuleta vurugu then wapinzani wetu wataenda kushtaki kuwa wamefanyiwa fujo. Atatuponza huyu jamaa
Sina nia ya kukushawishi.

Ndiyo maana nikasema ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri huwezi kuona hoja za kifalsafa nilizozitaja.

Nitakushawishi vipi wakati huna uwezo wa kufikiri wa kuweza kuona hoja za kifalsafa nilizozitaja, umeishia kwenye jezi na kushangilia timu?

Ni wazi kuwa siwezi na wala sina nia ya kukushawishi.

Naweka hoja za kifalsafa kwa upana zaidi, wenye uwezo mkubwa wa kufikiri waone.

Ingawa najibizana na wewe, hizi hoja si kwa ajili yako.

Zimepita kimo chako cha fikra.
Huyu hata shule sidhan kama anayo, ni ngumu sana kujibizana na Dotto magari [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ingawa najibizana na wewe, hizi hoja si kwa ajili yako.
Mpuuze mkuu!
Wengine tunapenda vitu vizuri. Sa kweli nishangilie timu inabutua butua nijipe presha bure! Kisa uzalendo
Kwanza mpira hauna uzalendo ni biashara.
Bidhaa yako ikiwa nzuri sokoni itapendwa tu
 
Mpuuze mkuu!
Wengine tunapenda vitu vizuri. Sa kweli nishangilie timu inabutua butua nijipe presha bure! Kisa uzalendo
Kwanza mpira hauna uzalendo ni biashara.
Bidhaa yako ikiwa nzuri sokoni itapendwa tu
Ndiyo maana nikauliza, na kubeti nako Waziri atalazimisha watu wabeti kizalendo?

Kwamba hata watu wakijua timu ya Tanzania haitoboi asilani, atalazimisha wabeti kizalendo tu kwenye timu ya Tanzania?
 
Ndiyo maana nikauliza, na kubeti nako Waziri atalazimisha watu wabeti kizalendo?

Kwamba hata watu wakijua timu ya Tanzania haitoboi asilani, atalazimisha wabeti kizalendo tu kwenye timu ya Tanzania?
Kuna watu hawajielewi 100% suala la mpira ni burudani tu, kama wengine wanavyochukulia kufanya ngono kamastarehe, au kunywa pombe kama starehe ndo vivyo hivyo hata katika soka, mpira hajawahi kuwa kipimo cha uzalendo,

Sasa kama mpira ni starehe kama starehe zingine ni sawa na jamaa kuja kukwambia upige bao ngapi, au unywe kinywaji chako, by the way katika socca tunalipia galama kuingia uwanjani kwa pesa zetu wenyewe na ratiba zetu wenyewe, leo hii huwezi kunipangia nishabikie team gani, au ipi nisishabikie bali nitashanikia ile team ambayo naona ndio itanipa raha au itakidhi uhitaji wa furaha yangu kwa siku hiyo,

Afu swala la mashabiki kushabikia vilabu ambayo sio vya nchi zao kwenye International games sioBongo tu, Imagine waarabu na itikadi zao na udini wao ila linapokuja swala la mpira wanashabikia vilabu vya mataifa mengine, sasa itakuwaje bongo hii tuanze kulazimisha, na hizo mbwembwe ndio zinakuza soccor na kuleta chachu,

Afu jamaa anavyosema Jezi kwake anaona Jezi sio kitu cha maana hii ni kuonesha mpira haujui kwetu sisi mashabiki wa soka jezi ni mhimu sana kwetu hata zaidi ya kadi ya uanachama maana jezi ni kitu kinaweza kukutambulisha popote unapoenda tofauti na kadi ambayo inakaa kwenye warret,

Jezi huleta umoja,
Jezi huleta ushirikiano,
Jezi huleta muungano,
Jezi husaidia watu kutambuana,
Jezi huleta upendo,

Zaidi na zaidi jezi hiyo unayoiona sio ya maana ila imesababisha baadhi ya watu kupata ajira na wengine kupata kipato.

Acheni kuleta siasa katika mpira hiki sio kijiwe cha wauza kahawa,

Pia linapokuja swala la uhuru wa mtu binafsi ni pamoja nakuchagua kipi kinakupa furaha mathalani hauvunji sheria, sasa leo Mjinga mmoja aniforce nishabikie team flani au nipigwe kisa nimevaa jezi ya team hiyo kikatiba nakisheria ni kosa gani sasa.

Acheni uchawa katika soka lambaneni mguu huko mlikozoea, huku kwetu mkijichanganya tutawanyoosha. Na mtauponza.
 
Mata... yako kama.soka huijui hupaswi kunyanyua kopo lako na kuzungumza, mpira sio siasa mpira ni burudani na kufanya hivyo ndio burudani yenyewe nakushauri wewe ukapige punyeto tu maana ndio furaha yako ilipo hapa kwenye soka tuachie sisi tunaojua maaa ya mpira na raha ya mpira, wewe endelea kupiga nyeto.
Sasa si mvae hizo brauzi za hao waume zenu halafu muende mkawashangilie. Kwa nini mnalialia kila siku humu jukwaani? Au mnataka muonewe huruma na huyo Waziri?

Tuachieni umama wenu hapa.
 
Sina nia ya kukushawishi.

Ndiyo maana nikasema ukiwa na uwezo mdogo wa kufikiri huwezi kuona hoja za kifalsafa nilizozitaja.

Nitakushawishi vipi wakati huna uwezo wa kufikiri wa kuweza kuona hoja za kifalsafa nilizozitaja, umeishia kwenye jezi na kushangilia timu?

Ni wazi kuwa siwezi na wala sina nia ya kukushawishi.

Naweka hoja za kifalsafa kwa upana zaidi, wenye uwezo mkubwa wa kufikiri waone.

Ingawa najibizana na wewe, hizi hoja si kwa ajili yako.

Zimepita kimo chako cha fikra.
Umeandika ujinga tu hapa. Kama una uwezo wa kuvaa hizo jezi na kwenda kuwashangilia hao wageni, si uvae! Huna sababu ya kulialia humu jukwaani kama mtoto mchanga na hao wenzako.
 
Kuna watu hawajielewi 100% suala la mpira ni burudani tu, kama wengine wanavyochukulia kufanya ngono kamastarehe, au kunywa pombe kama starehe ndo vivyo hivyo hata katika soka, mpira hajawahi kuwa kipimo cha uzalendo,

Sasa kama mpira ni starehe kama starehe zingine ni sawa na jamaa kuja kukwambia upige bao ngapi, au unywe kinywaji chako, by the way katika socca tunalipia galama kuingia uwanjani kwa pesa zetu wenyewe na ratiba zetu wenyewe, leo hii huwezi kunipangia nishabikie team gani, au ipi nisishabikie bali nitashanikia ile team ambayo naona ndio itanipa raha au itakidhi uhitaji wa furaha yangu kwa siku hiyo,

Afu swala la mashabiki kushabikia vilabu ambayo sio vya nchi zao kwenye International games sioBongo tu, Imagine waarabu na itikadi zao na udini wao ila linapokuja swala la mpira wanashabikia vilabu vya mataifa mengine, sasa itakuwaje bongo hii tuanze kulazimisha, na hizo mbwembwe ndio zinakuza soccor na kuleta chachu,

Afu jamaa anavyosema Jezi kwake anaona Jezi sio kitu cha maana hii ni kuonesha mpira haujui kwetu sisi mashabiki wa soka jezi ni mhimu sana kwetu hata zaidi ya kadi ya uanachama maana jezi ni kitu kinaweza kukutambulisha popote unapoenda tofauti na kadi ambayo inakaa kwenye warret,

Jezi huleta umoja,
Jezi huleta ushirikiano,
Jezi huleta muungano,
Jezi husaidia watu kutambuana,
Jezi huleta upendo,

Zaidi na zaidi jezi hiyo unayoiona sio ya maana ila imesababisha baadhi ya watu kupata ajira na wengine kupata kipato.

Acheni kuleta siasa katika mpira hiki sio kijiwe cha wauza kahawa,

Pia linapokuja swala la uhuru wa mtu binafsi ni pamoja nakuchagua kipi kinakupa furaha mathalani hauvunji sheria, sasa leo Mjinga mmoja aniforce nishabikie team flani au nipigwe kisa nimevaa jezi ya team hiyo kikatiba nakisheria ni kosa gani sasa.

Acheni uchawa katika soka lambaneni mguu huko mlikozoea, huku kwetu mkijichanganya tutawanyoosha. Na mtauponza.
Mara nyingine watu walioshindwa kazi kuchafua meza kwa makaratasi mengi na kufanya maigizo mengi kuwa wako busy wanafanya kazi.

Lakini ukichunguza hakuna cha maana wanachofanya.

Ndicho kinachotokea.

The minister is busy doing nothing.
 
Umeandika ujinga tu hapa. Kama una uwezo wa kuvaa hizo jezi na kwenda kuwashangilia hao wageni, si uvae! Huna sababu ya kulialia humu jukwaani kama mtoto mchanga na hao wenzako.
Sipendi majibizano marefu na watu ambao hawajafikia viwango vya kujibizana nami na ninwazi wanaangusha standard za majadiliano.

Umepoteza privilege za kujibizana nami moja kwa moja.

Nakupeleka ignore list.

I can only entertain rational argument I am afraud.

Kuanzia hapa sitaona chochote utakachoandika.
 
Back
Top Bottom